Ma-celeb wa early 2000s walikua wanavalia kama wamama wa soko banaaa

Hizi ni nini sasa :D:D:D
Hapa the struggle was still real, kabla waanze kuitwa regular shows, wafungue YouTube channels, na kupata endorsements. Ata sahii kupata mboch anadunga hivi ni nadra sana. Heneway, hiyo ni hali ya maisha. Ata wewe hiyo suti umebuy Sir Henry’s 50k, wajukuu watakua wanaangalia picha zako wanashindwa kwani hiki kiguka kilikua kishamba aje :D:D:D
[ATTACH=full]331927[/ATTACH]

Amani aliniangusha sana kwa ile picha aliosha walevi mesho.

:D:D:D:D:D:D but hizo enzi walikuwa wameweza kabisa, they look like hoodrats in comparison to todays dress code

Aliokoka, siku hizi anakemea mapepo.

https://www.youtube.com/watch?v=wnXvzBEdnms

Hindernet never forgets.

Huyo ako kati kati ni nani

weka ile kinyasa ulikuwa unavaa hapa

Stella Mwangi (STL)

Haiyaa:eek::smiley:

Angalia vids za Nelly utaona that was the dress code at that given time… Wasee pia walikuwa ni kuvaa Jersey za Fubu na Phat Farm

Haikosi umehang hizi picha kwa cyber.

Najua early 2000 bado ulikuwa njoti Kwa makei ya budako, ama ni mnyonyi ulikuwa unapambana nayo…
Ngoja hukumu yako ifike 2035 vípíí wakiekelea commentary juu ya dresscode yako saa hizi

Hiyo skirt ya Amani mnadharau, ungeenda the Rock Collection 20th Century hizo enzi ungeambiwa 5 thousands. Nwy, this was the dress code back then. Angalia these vids vizuri uone mahali watu wametoka.

https://www.youtube.com/watch?v=pEhop5845IM

https://www.youtube.com/watch?v=0wzaMfY_vtA

Hawa jamaa wanadhani dresscode za 2000 ni same na za saa hii.

A lot of changes have taken place. Hizi skinny jeans wasee wanavaa saa hii werent there.

That was the fashion then.

That was the dress code back then si ati hawakuwa na kakitu. Fashion changes after some time. Hata akina 50 cent hizo enzi walikuwa wanapandisia zile trao baggy, tsho refu zinatoshana na dress na timba na walikuwa tu fiti. Saa hii mtu akidunga ivo ataonekana ni kama amechizi.

Wa! Singe mtambua

Unaambia coolkids fashion za nineties. Hawaezi jua hustle mtu alikua anapitia kuziget. Two in particular,Georgetown na NaffNaff <------this one is a fossil

Siwezimind kulipa 1k each

Manze ata saa hizi, hata na dawa, nipatwe kama nimevaa that bulchieth skinny 3 quarter pants…