[ATTACH=full]191352[/ATTACH]
Bana
It had problems from yesterday.
Washenzi hao juzi was trying to buy a 100 credit through Mpesa… Ilikataa. Tried like 2 more times before giving up. Went outside to buy credit and I get a string of messages informing me I bought 100 credit. Spent like 300 kwa credit… Washenzi wao.
So juzi tuseme umelala njaa bro…lakini najua ulikula stori na watu kadhaa
Been trying to send too but I’m met with dela messages.
hii ndio wakati huwa staki nikue na substantial balance kwa mpesa.
That was yesterday…was really frustrating
Alhamdulillah, hiyo huwa njia ya mungu ya kupea sisi peasants excuse ya kutolipa madeni.
“Nilikuwa nikulipe lakini mpesa ilikuwa na delay banaaaaa”.
Saturday night had a terrible time after refuelling at Shell Hyrax Naks, ilibidi ni pay cash , never reply on M-Pesa !
Ni siku ya jackpot tunaflood safcom tukipanda mbegu ya mia
It happened to me over xmas last year. I ended up with 10gb of data from Mpesa and also credit that I used when I figured the delay ment it had failed. Immediately after using the credit the one from Mpesa came in. I ended up using my phone as a hotspot for everybody huko shags.
I just dont understand how safcom think that by buying credit of the same value twice is a hitch or that the suscriber has confused himself.
Who else has that feeling Safaricom haiendi far?