Na ujuwe hapa mambo ya simba 1 hatutambui wakati ni wetu @ mjasusi na ukitaka kuwa village elder kuwa una sifu Baba mara kwa mara.
1 Like
Haha, hapo ni ngumu @ Pamba. Project ulifikisha wapi?
1 Like
Bado pesa imeleta shida.
1 Like
Sawa. Mambo ni polepole tu utamaliza.