Ngimanene akiwa kwa choo leo ameangalia crystal
ball yake akaona jagathi si mugonjwa, anataka kutokelezea Mashujaa Day Sunday achachishe kabisaaaaa, he is still sitting DP sioni akikatazwa kuingia public function kama VIP achachishe and let everything burn ![]()
![]()
![]()
1 Like
Not bad.
Unaona vile jabass alikunja mkia aliposikia jagathi anaenda Embu Sunday?
1 Like
Yap. Lakini am yet to be convinced that the two are not working together.
Kaka Ngima, mbona tu nyinyi watu ya mulima ndio mnasumbuliwa akili na maneneo ya Gashagua. huyo ghaseer alikuwa kando ya Jambas wakipandisha ushuru, alikuwa kando ya Jambas wakimaliza Gen-z, alafu pia ni billionnaire na hio pesa yake haiwasaidii kama individuals, mbona mnasumbuka hii design. SIWEZI muonea
mwanasiasa huruma
1 Like
Mimi nawaombea wote maovu na mabaya yote ya ulimwengu
1 Like
Infighting between the tumbocrats should be encouraged.
3 Likes
Wamalizane we start afresh
He will be blocked from the main road