let me pull a azor ahai and reply by posting new thread

nilisoma hii comment kwa hii thread https://kenyatalk.com/index.php?threads/most-of-80-percent-of-office-jobs-are-held-by-women-young-men-are-been-denied-chances-openely.222078/ ikanikumbusha nikiwa young turk banae

nilishinda watu wakubwa interview nikaandikwa kazi

repoting day, nikapata customer care akichekacheka kwa comp nikashangaa anacheka nini

walikuwa wakitumia skype kufanya communication na hizo masiku skype haikuwa na encryption ya kisasa, so nikafanya MITM attack nikaona anaongea na customer care wa kisumu branch wakisema venye nakaa kama mutu hajielewi banae:mad::mad:

hizo 2weeks nilikaa huko hata sikuwa na consentrate kufanya kazi. nilikuwa tu nafikiria vile naweza tafuta machokosh wamupake ndoo human waste ama hata ninunue pilsner nimuitie kdf assassin

hata sikuandika resignation. niliwacha kuenda tu

MORAL OF STORY: vijana under 30 wanasumbua sana kama wewe ni employer tfuta over 30

Generation Z ni maumbwa kabisaa… Unatoa mtu kwa mtaro alafu kana Kuja kufikiria katatajirika haraka na biz yako

Mitm ni nini?

Minimum age ya kuajiri ni 32 years.
By then atakua amejua shida ni nini.

Very true

man in the middle attack
unajifanya wewe ndio intended recipient alafu unasoma message