nilishinda watu wakubwa interview nikaandikwa kazi
repoting day, nikapata customer care akichekacheka kwa comp nikashangaa anacheka nini
walikuwa wakitumia skype kufanya communication na hizo masiku skype haikuwa na encryption ya kisasa, so nikafanya MITM attack nikaona anaongea na customer care wa kisumu branch wakisema venye nakaa kama mutu hajielewi banae:mad::mad:
hizo 2weeks nilikaa huko hata sikuwa na consentrate kufanya kazi. nilikuwa tu nafikiria vile naweza tafuta machokosh wamupake ndoo human waste ama hata ninunue pilsner nimuitie kdf assassin
hata sikuandika resignation. niliwacha kuenda tu
MORAL OF STORY: vijana under 30 wanasumbua sana kama wewe ni employer tfuta over 30