A pal who resides hapo fedha (and i mean the main estoh,wacha zile maploti zimecrop hapo around juzi) tells me Sumra owns a residence there and that where he regularly meets wafuasi wake.He has been doing this since his early years in bunge.Lately he has been distributing food and people have been coming to collect it from there…and sofar it’s been orderly done…But apparently now the neighbours are not ok with it and are protesting this…citing corona.They are actually complaining that the persons (who are mostly slum dwellers) are exposing the residents to risk of corona…and have lodged a complaint…
Anyway…wacha tu tuseme hakuna mtu hupenda masikini…and someone please remind watu wa fedha that corona si ugonjwa ya uchafu kama kipindupindu…and that they(midorocrass) have a higher risk of being infected…na wakumbuke the first case ilitoka suburbs… Plus there is alway a better way of adressing it bila kuonesha direct descrimination lakini middleclass wa kenya ni akina nani waambiwe any?
Sumra aka Chuma ya Zamani was a good man. He did a lot for wananchi and had clean heart. He battled Mwenje when Mwenje ruled Embakasi like a Mafia Don.
@Malong yor ambia sumra awache kutumia Tambu na Kuber. Mdomo inafanya wanasiasa wamtoroke.
Sumra was a coward. Kanjemwe used to bully. Hadi Vita ya mwili alikuwa anaonwa. Iko siku hiyo baniani ilitolewa siaka na mwenje pale mowlem.
Those days mwenje alikuwa anahang na wamama. Ungedhani yeye alikuwa exofficio wa maendeleo ya wanawake.
Kanjemwe AIDs ndio ilituma yeye. He went with alot of women. The women used to spread halafu bursary ina ingia. He had an office pale Dandora dumping site.
In 2007 election he was using the poster za 2002. I saw him in 2007 the guy was a bag of bones. If he was around zile nyumba zilibomolewa kariobangi. Hazingechapwa bila yeye kuingia na kuvuruga.
Kamwenje he never went to the grave. Hao wamama wengi walikuwa. Jirani yangu alikuwa right man ya njemwe pia yeye ukimwi ilipita na yeye. Kazi ilikuwa ni seketeee.