leo tuende local old skul

https://www.youtube.com/watch?v=NV0AmiI9Cok

https://www.youtube.com/watch?v=nd05uLxQUOQ

https://www.youtube.com/watch?v=l0w9chG7Elc

https://www.youtube.com/watch?v=2S2yxhUNMSw

https://www.youtube.com/watch?v=V-ErC9NoP0E

Mnakumbuka mizizi na nimmo and warehouse by debbie asila?

1 Like

@WuTang nakumbuka …pia nakumbuka pinky was the hottest chic sometime back…she was in pulse kila time na ile video ya bamboo ilimfanya famous sana…najuwa ile kukamuliwa alikamuliwa na ma big fish dem days :smiley:

1 Like

Nakumbuka sulu kuruu na Ile song ati mateem walikuwa wananichekako ati mutomo yangu nanuka bukhele Sasa wana ni tis

Kasupuuu.
Nakumbuka hio song in 2001 ilirule top 7 at 7 ya kiss na pia top 9 at 9 ya capiroo hadi nikaijua offhead.
@Tommy Lee Sparta hio chronology sio mbaya although hardstone anafaa kua huko kwa mwanzo.
@WuTang now that is my kind of shit. kwanza hio warogi mbeche. kah na brayo pamoja kama asterix na obelix

1 Like

how can l forget mahatma song pande zote mbili
l still know the lyrics hadi wa leo… dope song

na mtu saba collabo na juakali na nonini
mtu saba alipiga manzi yako combi
mtu saba alisanya kwenyu juzi
mtu saba huwacha kitu kubwa kwa choo hadi ukijaribu kuflash mara kaa thao bado haiendi :smiley:

https://www.youtube.com/watch?v=Er73xZaIXUA

1 Like

https://www.youtube.com/watch?v=wxW3NCRIVJg

Kuna ingine ya Ogopa deejays that I only heard once na ikapotea. “Uyo achibela alikua sawa na figure ilikua poa check akitambaa utadhani malikia kumbe yu ana tabia mbaya tabia mbaya”

Alafu pia Kuna Ile jua kali ali feature na wajaka flani sijui something like kondele o something.

Ilikua inaitwa lakeside. Pia kuna ile ‘Tabia mbaya’ ya Ksouth…
Pia akina Zanaziki na ngoma ilikua inaitwa Mimi sitaki or something like that. Damn!!

Ilikua inaitwa lakeside. Pia kuna ile ‘Tabia mbaya’ ya Ksouth…
Pia akina Zanaziki na ngoma ilikua inaitwa Mimi sitaki or something like that. Damn!!

One2moja…‘nikiwa na mabeshte twanywa moody kwenye crew,inafaa ucheki manze the things we used to do,na usiwahi soma label ni hasara…’ wot was the name of this track?