leo tuende local old skul

l grew up listening to this local tunes…made me love music and dream of having a music and movie shop…
baba yao kalamashaka…fanya mambo …video low quality but ilitubamba

then kuna mashifta…(they copied dre and snoop lakini bado walitubamba)
then king of freestyle mwafrika

then kuna moja ilikuwa inaenda ivi
“ni kwa sababu yako manzi yangu sasa amekuwa wako nilidhani mimi ni beste yako”

hii song ilinibamba sana thou nimeitafuta for so many years sijawai ipata youtube…think artist was mich black

ingine ni …mwegerekanio…song was dope

then hardstone rocked kenya local scene

then my favourite till to date ousmane…rising star

then time za esir ile song wakiwa na big pin Jo
then era ya calif ikaingia
ruka ya jua kali ilitubamba
nonini na wekamu

then remix …kwaza part ya jua kali …( ushawai chota mtoto kwa haga) kumbe alikuwa anabonga story ya Kukamua mkia :smiley:

then nonini again…my fav verse.( nakutana na wewe supermarket apo apoa nataka hakuna roots kwa hii game hadi kwa kichaka) :smiley:

then redsan akatubamba na chiken now na akitakaa apakatwe

then G fulani ya westy Chris kantai…huu ni nani G huu ni kantai hajali G

then akatoa kiwowo…na jinga hii

then time ya beef ikanza chiwawa na FBI
then abass kubaff
then bambo akatoa club banger compe
then akina altitude na vile alikamua mercy myra

then kitoto cha coast kikatubamaba na amka ukatike…fame ikamuingia akaanza drugs sadness of life :frowning:
nazizi na wyre neccesarry noise
then hatuwezi sahau jackson aka prezzo…
song yake mafans was dope na collabo yake na nazizi

also collabo na juakali na nonini vile utafanya…

amani na wahu walijaribu hii game pia…

mimi nilikuwa fan sana wa local hadi waleo

1 Like

My favourite reggae song them dayz ilikua fire by shamir I think he should a refix of video and It will be club hit.:smiley:

https://www.youtube.com/watch?v=S1xASfodRxU

3 Likes

@Randy shamir is very talented …kuna riddim ya zj heno alivoice wakiwa na akina allaine na gyptian…jamaa ako poa ubaya ni kenyans we dont appreciate our own :frowning:

1 Like

Niko na izo mix this bratha has the talent,swag and looks needed to be an international artist I don’t know what is happening amekua chino ya maji of late.

ata mimi natambua local toka enzi za music time,akina mushroom na kamaru hadi wakati wa mizizi na sasa tuko na homegrown kbc…umesahau ma heavy weight kama akina nameless, longombas, pilipili, mr lenny na Amani. Hizo siku akina kaka sungura na octopizzo walikua watoto bado

Leo niko kwa kejaaa stoki hapa kwa hivo ukitakaa we camu.
Nonini

1 Like

manyakee, all sizes…we are unbwogable…

1 Like

“mama mama nataka kuwa rapper nataka kuwa famous ka kalamashaka”

Naz back in those days was fat and a tomboy I used to think she"s a man

1 Like

manzi wa Nai

Kiasi by jua kali na flex manzi amejibeba

https://www.youtube.com/watch?v=A5Cjilyd-yY

https://www.youtube.com/watch?v=J6iuII8x8_E

1 Like

Nanoma na ile group Red San walikuwa ndani na kina Lyrical Erico na Shanky Radix- One 2 Moja

https://www.youtube.com/watch?v=IG4s0X-WQr0

Nilianza kuzicollect. Not a huge collection but nasonga mos mos
[ATTACH=full]30410[/ATTACH]

https://www.youtube.com/watch?v=oBpdp3_CmwE

1 Like

Kamoja Tu… Bugz… Hii ni Classic… Vid pia ilikumbusha ushenz nilifanya seco during functions.

2 Likes

Hii local collection yako iko down tu sana

1 Like

flexx…nyundo yangu itauwa wapi? (nyundo itakamua wapi?)

https://www.youtube.com/watch?v=Hq1wK6UzEu4

https://www.youtube.com/watch?v=ka_CDzv_4F0

https://www.youtube.com/watch?v=nd05uLxQUOQ

https://www.youtube.com/watch?v=19FlIlY65UI

https://www.youtube.com/watch?v=3fHMW_BRQYc

https://www.youtube.com/watch?v=ATy4nD0zC2c

https://www.youtube.com/watch?v=XhEWI21HRns

1 Like

[QUOTE=“Tommy Lee Sparta, post: 335969, member: 306”]

then kuna moja ilikuwa inaenda ivi
“ni kwa sababu yako manzi yangu sasa amekuwa wako nilidhani mimi ni beste yako”

hii song ilinibamba sana thou nimeitafuta for so many years sijawai ipata youtube…think artist was mich black
[/QUOTE[/QUOTE]

Thanks to @kermit

1 Like

@Smith_ @kermit shukrani kaka hii song imeleta memories sana…:slight_smile:
@Meria Mata naona pia ulikuwa fan wa wee kamu…mimi iyo song kuna day nimeinvite mrembo kwa cubical nanikabuy fanta ile ya one liter iyo song ndio nilicheza over 30times…halafu vile sikuwa najuwa naelewa mambo za kukamua nikatoka na mrembo majioni na nikashow maboys nimekamua :smiley: wagejuwa tu ata kiss sikuomba

@old monk apo kweli nazizi alikuwa anakaa boyz
@gashwin manzi wa nairobi unakumbuka video…kwa shower :smiley: nikimsugua mgongo

@black mzungu flexx alinibamba na manzi amejibeba tho iyo clip ukicheki saa hii hao madame walikuwa wamebeat lakini iyo time wao ndio walikuwa vera sidika :smiley:

@Nyadist bugz walinibamba na kamoja tu na iyo video ikakuwa burn kwa media halafu wakatoa naskia utamu (sio sabuni haikwishi :smiley: )best fisi line

@Deorro apo sawa kwa collection

@wu Tang unakumbuka ile crew ilitoka ogopa djs wakaunda Badman camp (tumefika wanajipa tuko fresh bila kuliza tunawapa tu wanakatika tu tunawapa tu wanakatika tu)

and the best ragga iyo time bambika by shanky radics alicopy style ya sean paul but alitubamba sana…hadi wa leo ikichezwa club watu wanadance…
then remix yake was the bomb noma sana

halafu do u remember Yuanitaka by mr googz noma sana

na big up to dj pinye kutuletea The Beat

2 Likes