Leo tena na MASOUD

Kama kawaida yake!

Hmm!..

Noma sana

Umeona eh! Jamaa anawaza mbali sana…

Tz ya Samaki na Rula.

Wakuu naomba kuwakilisha (nimekua picha)
[ATTACH=full]179503[/ATTACH]

Kipanya the Great

Hahaha ili tusahau ya bajeti tujadili Samaki Au Sio

nchi ya kufikirika

Salute

The only great thinker remains in talk in Tz, Kipanya bado anazungumza na kukosoa kupitia sanaa ya katuni.

movie zinaletwa chapchapa, ,MADINI KUIBIWA NDANI YA UKUTA MERERANI MBELE YA ASKARI WA RWANDA NA HII YA WAZIRI WA AFYA KUSEMA KUNA DENGUE BONGO…wanahangaika tusiongelee ushuzi wao kule Dodoma wanaouuita bajeti

Una kazi sana na huyu Mmakonde…!!!