Leo ni makombe

[ATTACH=full]425569[/ATTACH][ATTACH=full]425570[/ATTACH]

Wapi jaba na lanye?

Jug danihell iko na hangover baya sana …

Kweli … Uchumi ni mbaya.

:D:D:D unalewa mchana shifo?

Enyewe ka advance kameingia.

Sasa najua ume fake sickness ujiburudishe. Madam mboss anajua umewezekana na homa kali…

Nilikuwa field work nikaona nitoe lock

Nitakunywa maji mob

Job gani hio hata mimi nifanye application?

Pesa manenos

Hio free time

Sasa chifu akiwa mlevi mchana villagers tutakesha ama

Weee duri hakirii,ureda andu mavotiree Ruto nigethaa acoke amaninee utigwo ukiria mirigo yaku wii wikaa

Mundu Arie indo siake

Pombe au coca cola hii

Fombe ya kîgi

Iria muiyite na Ruto

Îî

Ala, imekuwaje simba kala nyasi?