Tuko hapa Juja mall…ngoma iko poa…mwenye club amejaribu hapa pia ameleta waschana warembo sana kuserve wathii. Almost all are dry fry material.
Mko wapi watu nguyaz!?
Tuko hapa Juja mall…ngoma iko poa…mwenye club amejaribu hapa pia ameleta waschana warembo sana kuserve wathii. Almost all are dry fry material.
Mko wapi watu nguyaz!?
Tuko tu hapa kwa keyboard tunadecide between trolling and nderoiroment of this thread which is better.
Just a sec…
Juja tena. Na si hawa mapoko wa JKUAT na MKU ? anyways kila nyani na starehe zake.
Sema hauna kakitu na muhindi alikunyima advance, tutaelewa.
#UOTP.
Usiwaite mapoko tafasali…hehehe
Ama tuikonjolee
Niko Kwa ndae, Hawa mafala waliniumizia dere wangu, huyu Niko naye ananuka peasant spirit na ako Nazo mecho nyanya na tuko operation area.
Meffi…kutoka hapa tunaenda 2RM…kuna show mwenda sana huko
Opereshen gani hio ya usiku
Against illegal logging Kwa Forest, Jana nimeshika lorry full of sandalwood.
Mbisha ni muhimu.
Haya , mkifika rwaka , kujeni hapa kigwaru.mtatupata na birrionea @rollout .
Hehe sasawa afsa…msako uendelee
Ulihama kasarani
Kasa nitafika masaa ya wachawi !
it won’t hurt to be humble
Kuna warembo hapo?
Chillax!
KWS SPORTS CLUB TUKIWINDA NYOKA
:D:D:D:D:D:D