Leo kwa mabar and clubs utaskia...

Lakini engineer hapo umebonga. Mwingine be like Wakili umefanya mzuri. Alafu Daktari tuko pamoja pewa beer mbili…my round.

All these being shouted pale kwa bar ati mjue mens zimekaa na watu wa kiheshima.

Mtu anaitwa engineer na ni grad wa Kenya Aviation. Ule wanaita Daktari ni grad wa KMTC… Ni nurse. Wakili… Ati lawyer akifanyia law sijui takataka gani of a college.

Patia hizi ngombe 3 days… 4 days at most na zitakuwa pale Sonford fish and chips zikitembeza kiyambis kwa mfreji kuchota maji… Hazina any.

Alafu unaona mjinga ingine na ni dereva wa mhindi pia aki jaribu ku slay…

Big boys akina Karadar wanacheza ndogo
[ATTACH=full]190708[/ATTACH]

Waafrika pekee ndio huweka Eng. before jina yao

Boss we in Africa have a real TGIF feeling. Wewe pambana na hali yako.

Mimi siweki yangu but soda yako ni gani?
Kenya Aviation ni kitu gani?

Kumbe ni wewe :D:D:D Niaje mjamaa wa Emery…

Itabidi nifike Sonford soon juu umeisifia in a few threads. I’ll share a pic as evidence :smiley:

coocoo ya kayole .
ukona ujinga mingi kuniliko ghasia

Cheza ndogo bro

@Jirani umetumia handle mbaya. Should have been @Panyaste. Halafu naona you’re zooming into the dashboard from the backseat. Hio miaka yote huja afford sh400,000 ya driving school?


Hii tackle din see it coming…
[ATTACH=full]190719[/ATTACH]

Siwajui

@introvert kuja haraka…your schoolmate is here.

Leo coomer Nairobi mjue kupata bei itakuwa juu.

siet. eti 400,000 ??

This happens at my local a lot.:D:D
(Doesn’t help that the new owner is a luo.)
Luckily, their egos do not permit me to buy more than a round occasionally. I’m heading there now…TGIF!
(PS: why’s your car crawling at 0 on a highway?)
[ATTACH=full]190747[/ATTACH]

Kasee, kuendesha Porsche Spyder on the Autobahn at 340km/h haitaki kubaatisha nani

siste ivo ivo umepanua legs ndio mm upenda

Engine inazusha…

Need to do an engine check asap.
But si unajua naishi mashambani? :smiley:

Do you know Jesus died for your sins?
Yours especially… :oops: