These Tz fools have been blinded by Magufool they are no longer reasoning objectively.
Mkuu kua top flier in your top notch proffession ni ishu moja na kua na uwezo wa kuizalisha equivalent ya 400M Tshs on a daily basis ni ishu nyingine.
Wataje your fellow kenyans waforward CV.
Sasa kama waTanzania ni wapumbavu wakenya ni nini? Kiti cha urais kinakaliwa na familia moja tu na wote mnakubaliana nchini kwenu ukabila na rushwa vimetawala yet same BS kila siku.
Huko atadaiwa si anaenda kuanza na hiko alichokua nacho…huku hicho alichokua nacho wangelamba
So you mean Lema has sold all his assets before he left Tanzania and he will never return?
And how do you know he is owed?