I remember this like it was yesterday. My grandma, who i was living with had left me at home with strict instructions to watch the cows and since she had left some warus and minjis my uncle was to pick, to wait for the person. Now I knew my Sato was doomed, then kufungua greatwall napata kuna national athletics trials, i felt the day wouldn’t be so boring. Unfortunately the aerial ikapigwa na upepo ikaleta ‘mchele’ and since I was alone ikanilemea kuset aerial.
Beste yangu akanipitia akanishow kwao inaona safi kabisa and me na ujanja yangu nikatoa zile waru nikaweka kwa corridor ya nyumba and left the door unlocked uncle akikuja achukue coz hangejua place tunaficha funguo. nikaenjoy mbio kabisa lakini kurudi nyumbani nikajua hapo ‘ngurara itara’. My uncle had postponed the safari so hakupick zile waru. Kumbe kuna ndume moja hapo ilikam ikagonga mlango ikafunguka. the damn cow ilichagua tu minji zote halafu ikakunia na kukojoa kwa nyumba. So with the harufu ya ngombe hakuna vile ningeficha hiyo stori.
So mimi shosh alikam nikajifanya hakuna kitu imehappen kumbe hata yeye alijua akanipimia. As usual tukacheza munyore vizuri na nikarudi home magiza as usual. Kufika home ile vita nilipewa naikumbukanga leo naskia thithii. Plus my shosh ni wale wanakasirika mpaka wanakuuma. By the time nilimaliziwa hata kukula singeweza vile mwili yangu ilikuwa moto. Hii siku ingine hiyo ndume ilijua kunakuwanga na revenge juu ya ile vita niliiona.
great wall ni ma legend to remember
Kwanza the privilidged walikuwa wanaongeza some kioo inaleta some color.
Are you @Unruly?
Why?
ulifanyia dume nini? maliza hekaya ama hapo ndio Stori iko
Hehee, niliichapa mpaka nikavunja pembe moja.
nilikuwa nafikiria uliinyandua
Aii utanyanfuaje ndume?
kwa hivyo ungenyandua kama ingekuwa kike
Wewe VE acha zako. Utanyanduaje mnyama time coomer zimejaa around.
si Mimi nimeandika
cul de sac
Huyu VE ni wa Sendro so elewa tu
:D:D:D
Saa saba till 3 in the morning you ferkers were discussing beastiality options? @admin kuja
How did you know it was that specific cow? ama uliipata ndani?
Man hio story is so true happened to me isipokuwa hapo.kwahow ngombe kukunia kwa nyumba… yangu ni mtoto alijichoma naq maji moto…heheh ilibidi nipotee kidogo, 2days
:D:D:D
:D:D:D:D
One day this village will kill me
mi pia nilikua nangoja hiyo, then niulize next alitumia styro gani haswa