Lanye kunywa chai during lunch hour break 1p.m. to 2p.m. musiwasumbue hii masaa

4 Likes

At last tumeona hii Calabash.
marketing intern wa Calabash @cortedivoire hajawai leta picha

10 Likes

Kumbe hii ndio calabash! Haikosi ile squad ya kunguni iko hapa ni hybrid. Kunguni kutoka mat za embassava na zile za city hoppa za Kabiria zinakutana, katiana, na kuzaa hybrid ya kunguni aigwes kufa hata ufanyeje.

7 Likes

Meffi nyinyi

1 Like

Calabash iko young drifters ama iko wapi

Funny thing is hawa madame hupata wateja

1 Like

Hapa sioni kama naeza rudi nikiwa hai.

2 Likes

Hii ndio kalabash. Wacha ikae. Taweh!

1 Like