[ATTACH=full]304293[/ATTACH]
Kanyanye kamebleach joints Ni dark anakaa Kama miwa ya “palu”
Is that tribe shit really necessary
It is for wasting ink. We dont need it. We know who did it hata bila jina na picha.
Karibu kastama,Ndizi kwa bei nafuu
[ATTACH=full]304298[/ATTACH]
[ATTACH=full]304297[/ATTACH]
Kuna mafisi kadhaa watajaribu kumpigia simu, lakini kusema ukweli hawa watu ni moto wa kuotea mbali, jamaa moja aliwekewa hizi dawa akajipata latema road akiwa uchi, mwingine akajipata Uhuru park bila suruali, viatu, simu, saa, na vitu vingine muhimu.
Wueh!
Kwani mtu atakuwa mjinga aje to accept any swallowable item (drink or food) from a Lanye? Ama hebu educate me mtu anawekewa mchele aje?
Mkiongea na yeye anakuwekea kwa pombe, anapaka kwa matiti soma zile thread zote ziko huku
Heheheee… Do you drink alcohol in large amounts, kwa club, usiku kucha?
Saa zile unatoka kuenda choo lanye huwa ana sneak mchele kwa drink.
Huyu ni dryfry materials isipokuwa ameharibu rangi
We still value the tribe issue in Kenya because it is indicated even on ID cards
In drinks at the pub. Or taking her to your house and then she puts it in drinks or food
What kind of id do you have, that has tribe on it?
Unatumia kitambulisho cha wakoloni
Kwani yeye huvaa gloves akienda kutega, hii kitu nishawai Iona whisky river na mini dress ilikuwa swafi sanaaaa but I was drunk
Ukiwa mlevi utaona hata nyanyako akiwa anakaa under 18.
ID card gani iyo uko nayo ina indicate tribe?