[ATTACH=full]488216[/ATTACH][ATTACH=full]488217[/ATTACH][ATTACH=full]488218[/ATTACH][ATTACH=full]488219[/ATTACH][ATTACH=full]488220[/ATTACH]
Hao ma Odi wapigwe mawe… watu washenzi zaidi… kwanza wale vijana hukuja naivasha na nduthi kama 100 walikuwa wana vuruga watu njiani… atleast ile crackdown ya nduthi ilifanya wakunje mkia.
ati road trip ya nduthi 100 hadi naivasha, kwani hii watu ya nduthi hufikiria aje.
Ma fans wa Chelsea.
Hii ujinga hawawezi jaribu Kwangu. I carry a Glock. Wa Kwanza kutupa mawe napiga Risasi ya kichwa. Tupa Kwa beach fish zikuwe na feast.
Uki ua mmoja hio upuzi ina isha.
maboxer kama mbao saa hizo zimebeba watu 100.
Am I growing old ama average IQ ya mkenya inaendelea kushuka. Ujinga gani unaendelea hapa?
Hao mabaradhuli hata hawahitaji risasi. That’s a very small problem. Tuma gsu ama ap pale na viboko. Charaza washenzi mpaka wavimbe mwili wote. Problem solved
sijaelewa pia
Sijui ni sacco ama nini, vijana wa kariobangi, huruma na dandora combined. Mahali walikuwa wanapita watu walibaki wameumia.
Hauwezi Kam Kwa beach ya lake Naivasha upige sherehe bila kupatia mayouth haki yao ama hio gari umekam nao utatoka bila madirisha
kwani walideflate hadi tyres ama ilikuwa imekwama bandits wakakuja ambush?
First am hearing this. Ikifikia kindiki kuna wakora wataumia
Ndio nimeshikanisha…
If so naivasha will soon start losing its attraction
If Michuki was alive hii ingekuwa imeisha by now. Remember what he did to mungiki. Michuki alifanya mungiki ikakunja mkia kabisa. Michuki brought back sanity to the matatu industry. That man was a genius.
The secret is knowing you have power and knowing how to use it. Matiang’i was close, if he was serving a president who was as aloof as Kibaki he’d have been great
Kenya ni huru,anyone should go anywhere do anything they feel without being bothered.
Bora ulipe entry fee if any is required.
Hao maYouths ni mungeech in short extorting citizens
Mbwa.
Happy new year.
Mbwa