kweli jana kuliendaje?

Hekaya safi lakini Tall Mnyambo hapa umetupara.

Hakuna hekaya ya tall inakuanga fluent kizungu lakini hii narration inaflow, hapa tall umeiba hii mahali

Mawazo yenye rutuba

mkuu wewe ni noma,ulipiga msupa wa best yako??ukipigiwa na wewe utakuwa happy kweli?

Hakuna hiyo

dumb idea kuchungiwa dem na ndume and you let her know