Kwanini Ukiwa mgegedaji, ukienda fanya mazoezi miguu na magoti inauma

Ishakutokeaa hii??
Mimi nikigegeda siku mbili mfululizo, alafu nikienda mazoezi lazima miguu na magoti iumee.
Inanibidi nikae siku mbili bila kugegeda ndo niende mazoezi.

Kawaida, kila siku lazima niende mazoezi jioni, sasa nimekuwa nikijiuliza kuna uhusiano gani kugegeda na miguu au magoti kuuma ukitoka kugegeda?

Kwa jinsi ninavyopenda mazoezi, inafika kipindi nakataa papuchi ili nisisitishe mazoezi.

Wajuvi nipeni uhusiano wa haya mambo.

Mchaga mvivu tu wewe. sasa hapo unachoka nini!!! hahahahahaha

Nilidhani ni mimi tu ndio huntokeaga.

Hasa kwenye joints unakuta hazina nguvu.

Mimi nadhani na lile tendo ni mojawapo ya zoezi ndio mana wengi tukitoka huwa tunakunywa maji hata 1 Lita.

Yaani uache Papuchi kwa ajili ya mazoezi!!!utakuwa na tatizo si bure.

Sio kuchoka mama, misuli ya miguu inaumaa balaa

Kwenye magoti asikwambiee mtu, unasikia mifupa inasagana km vyuma vilivyo kosa oil

@NAHUJA ulikuwa wapi mbona umechelewa sana au sio Nahuja halisi wa JF?

Choose the correct answer.

Achana na mazoezi,gegeda kwa wingi
Nalog off

Mazoezi na kugegeda all the same

Wengine ukipiga game kwenye tizi unakua vizuri zaidi

Mchana Unakula kiepe yai tena yai la kuku wa kisasa usiku unakula wali sasa hizo nguvu zitatoka wapi

Pole sana…

Mwili wako dhaifu ndiyo maana…

Cc: @Mahondaw

we muongo mamaeeee hahahahah

Trust me mkuu…

Yaani unakua mwepesi mpaka raha

Huna mazoezi ya uhakika wewe unapiga kiminyato minyato ndio maana

Mimi naweza nikagegeda mchana, jioni naingia tizi kama kawaida

Maumivu ya magoti wakati wa kufanya mazoezi husababishwa na lactic acid kama matokeo ya metabolism. Kwamtu mwenye afya umara oxygen inarekebisha hali hiyo mara moja. Ndiyo maana miguu ikiuma unapumua haraka ili upate oxygen nyingi uwezavyo. Hii theory yako labda wanasayansi waifanyie uchunguzi zaidi na unaweza kuingia kwenye Guiness book of records ukatutoa kimaso maso wa-Tanzania.

sio kugegeda tu hata puchu zikizidi magoti yanaishiwa nguvu sijui kwa nini

Sky,
Lactic acid hufanya misuli kuchoka na kuuma pale unapozidi kuifanyisha kazi na oxygen supply ni ndogo.

Mimi sijaongelea misuli, bali mifupa na magoti.
Hata ukipumzika siku nzima kesho yake ukiingia tizi lzm shughuli uipate