Kwanini Muziki wa Tanzania ni mzuri?

[SIZE=6][FONT=tahoma]Nawasalimia ndugu zangu. Habari za saa hizi?[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Sipendi kuwapotezea muda mwingi.
Kwanza muziki ni sanaa ambayo kila kiumbe duniani hupenda kusikiliza. Wanyama wa mwituni, watoto, hata ndege pia hupenda kusikiliza muziki.[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Kwa sababu muziki ni sanaa ni muhimu kabisa kuwepo na utaratibu wa uwasilishaji wake kwa watu. Sote tunajua kuwa muziki huburudisha, hufundisha na vilevile hutoa maonyo.[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Tanzania imefanikiwa kwenye nyanja za muziki kutokana na kuwekeza katika muziki na kukubaliana na tamaduni zetu za kiafrika. [/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Siri ya kubwa ya kwanza kabisa kwenye muziki wa Tanzania ni matumizi ya lugha ya kiswahili. Matumizi hayo ni pamoja na kutumia vina kwenye mashairi, misamiati mipya na tamathali za semi.[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]UTUMIAJI WA VINA
Wasanii wote wa Tanzania wanaaswa kutumia vina kwenye mashairi ya nyimbo zao. Hii inaleta ladha zuri kwa msikilizaji. [/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]MF: Zuchu mwambieni
Mhhh mh mh
Mhhh mh mhhh
Mhh mh mh
Mhh
Eeeeeh kaja omba nirudi[COLOR=rgb(226, 80, 65)]a
Kazirejesha sala[COLOR=rgb(226, 80, 65)]m
Zamani kakumbuki[COLOR=rgb(226, 80, 65)]a
Ameumisi uta[COLOR=rgb(226, 80, 65)]mu
Kaacha kopa kalamba gara[COLOR=rgb(226, 80, 65)]sa, kaishiwa masiki[COLOR=rgb(226, 80, 65)]ni
Mpeni taarifa za beti mkwa[COLOR=rgb(226, 80, 65)]sa mi simkumbuki si[COLOR=rgb(226, 80, 65)]ni[/FONT][/SIZE][COLOR=rgb(226, 80, 65)]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Kuweza kuandika mashairi yenye vina ni lazima uwe umebobea kwenye lugha husika.
Kuanza kutupia lawama wasanii wengine ni muhimu kujua namna ya utungaji wa nyimbo na mashairi.[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Nitaendelea…[/FONT][/SIZE]

Usiendelee hapa. Enda huko mbali kama kungu[COLOR=rgb(226, 80, 65)]ni.

Mnyambuliko huo

[SIZE=6][FONT=tahoma]Uandishi wa mashairi watanzania wote wanafundishwa kuanzia shule za msingi.
Na wanafundishwa aina ya mashairi na uandishi wake.[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Sasa basi hatua ya kwanza kabisa ni kupata kujua namna ya kuandika mashairi kwa vina ndio msingi wa matumizi bora ya kiswahili. [/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Kiswahili ni lugha tamu na ya mahaba, haitakiwi kuzungumzwa au kuimbwa pasipo na utaratibu. Ili kuweza kujua utamu wa kiswahili, ni lazima nyimbo ziandikwe kwa kufuata utaratibu unaofaa.[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Tunazwe kuangalia wimbo mwingine tuone namna ya uwasilishaji wake wa lugha:-[/FONT][/SIZE]

[SIZE=6][FONT=tahoma]Billnass Puuh FT Jay Melody[/FONT][/SIZE]

[SIZE=5][FONT=tahoma]Jay once again (S2kizzy baby)
Mm-hmm (Nenga)[/FONT][/SIZE]

[SIZE=5][FONT=tahoma]Ah, hili penzi la ukweli, baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka, wuuh
Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh
[/FONT][/SIZE]
[SIZE=5][FONT=tahoma]Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Moyo unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, la-la[/FONT][/SIZE]

Hatuna pingamizi zozote hapo.

[SIZE=6][FONT=tahoma]MATUMIZI YA TAMATHALI ZA SEMI

Tamathali za Usemi ni matumizi ya maneno kwa namna fulani ili kuifanya lugha iwe ya kuvuitia na kuifanya kazi ya sanaa iwe ya kupendeza[/FONT][/SIZE].

Oya @Ndindu kuna bonobo here who is giving you a run for your money. Jamaa anaangusha threads 30 kwa siku. He will force you to retire. Reclaim your position

Tunaziita idioms kwa kikwetu.

[SIZE=6][FONT=tahoma]Kuna aina mbili za tamathali za usemi:[/FONT][/SIZE]
[ol]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Mbinu au Fani za Lugha- Ni uteuzi wa maneno ili kuifanya lugha iwe ya kupendeza na kuvutia. Pia, Mapambo ya Lugha.Fani za Lugha zinaweza kutambulikana moja kwa moja bila kusoma kifungu kizima.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Mbinu za Sanaa- Ni ubunifu wa kisanaa unaojitokeza baada ya kusoma au kusikiliza masimulizi.Angalau unahitaji kusoma sentensi kadhaa au hata hadithi nzima ili kutambua mbinu ya sanaa iliyotumika.[/FONT][/SIZE][/li][/ol]

Idioms:- Nahau ni sehemu ya Tamathali za semi.

[SIZE=6][FONT=tahoma]
Mbinu za Lugha[/FONT][/SIZE]
[ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Tanakali za Sauti -Ni mbinu ya kutumia maneno yanayoiga sauti au hali fulani au namna kitendo kilivyofanyika. Milio.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Tashbihi -Hii ni mbinu ya lugha inayolinganisha vitu au hali mbili tofauti kwa kutumia maneno ya kulinganisha; ‘kama’, ‘mithili ya’, ‘sawa na’, ‘ja’. Tashbiha. Similes.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Istiara -Ni mbinu ya kulinganisha vitu viwili moja kwa moja kwa kutumia kiungo ‘ni’ ama ‘kuwa’. Istiari. Sitiari. Imagery[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Jazanda -[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Ni kulinganisha vitu viwili moja kwa moja bila kutumia viunganishi.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Taashira -Ni matumizi ya lugha ya ishara kuwakilisha ujumbe fulani. Jina au kitu fulani kinatumika kumaanisha kitu kingine chenye uhusiano na kile kilichotumiwa. Symbolism[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Taswira -[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Ni matumizi ya lugha/maneno yanayojenga picha ya hali au jambo fulani kwa msomaji.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Tashihisi -Hii ni mbinu ya kupatia kitu kisicho hai sifa za kiumbe mwenye uhai (sifa za kibinadamu). Uhuishaji. Personification.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Chuku -Ni kutumia maneno yaliyotiliwa chumvi ili kusisitiza ujumbe fulani au kusifia kitu. Kutilia Chumvi. Hyperbole[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Takriri -Ni mbinu ya kurudiarudia neno moja au kifungu cha maneno ili kusisitiza ujumbe fulani. Repetition[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Tanakuzi-Tanakuzi ni mbinu ya kusisitiza ujumbe kwa kuambatanisha maneno ya kinyume au yanayokinzana. Ukinzani[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Majazi -[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Majazi ni pale tabia za wahusika zinapoambatana na majina yao halisi.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Lakabu -[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Ni mbinu ya mhusika kupewa/kubadikwa jina na wahusika wengine ama yeye mwenyewe kujibandika jina linalooana na tabia/sifa zake.[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Semi -[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Ni fungu la maneno linapotumika kutoa maana nyingine, badala ya ile ya maneno yaliyotumika. Semi hutumika kuficha ukali wa maneno au kupamba lugha. Kuna aina mbili za semi:[/FONT][/SIZE][/li][LIST]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Nahau - huwa na vitenzi[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Misemo - haina vitenzi[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Methali -[/FONT][/SIZE][/li][/ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Methali ni misemo ya hekima yenye maana iliyofumbwa. Mhusika, mwandishi wa fasihi anaweza kutumia methali kupitisha ujumbe.[/FONT][/SIZE][/li][ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Maswali ya Balagha -Tashititi au maswali ya balagha ni maswali yanayoulizwa na msimulizi au mhusika ambayo hayahitaji jibu. Mubalagha. (Rhetorical questions)[/FONT][/SIZE][/li][li][SIZE=6][FONT=tahoma]Uzungumzi Nafsiya -[/FONT][/SIZE][/li][/ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Mhusika hujizungumzia, ama kwa kuongea au kuwaza, bila kukusudia kusikika na yeyote.[/FONT][/SIZE][/li][ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Ritifaa -[/FONT][/SIZE][/li][/ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Mbinu ya kuzungumza na mtu aliyekufa (au asiyekuwepo) kana kwamba yuko pamoja nawe.[/FONT][/SIZE][/li][ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Utohozi -[/FONT][/SIZE][/li][/ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Kutohoa ni mbinu ya kuswahilisha maneno ya lugha nyingine, yatamkike kama ya Kiswahili.[/FONT][/SIZE][/li][ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Kuchanganya Ndimi -[/FONT][/SIZE][/li][/ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Kuweka maneno yasiyo ya Kiswahili katika sentensi ya Kiswahili.[/FONT][/SIZE][/li][ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Kuhamisha Ndimi -[/FONT][/SIZE][/li][/ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]Ni kuingiza sentensi ya lugha nyingine katika kifungu cha lugha ya Kiswahili. Kinyume na Kuchanganya ndimi (ambapo mwandishi huchanganya maneno katika sentensi moja, katika kuhamisha ndimi, sentensi kamilifu ya lugha nyingine hutumika miongoni mwa sentensi za Kiswahili sanifu.[/FONT][/SIZE][/li][ul]
[li][SIZE=6][FONT=tahoma]}[/FONT][/SIZE][/li][/ul]
[/LIST]

Oh mehn. It’s as if I’m back in high school. :confused:

Afadhali kapote. :rolleyes:

@T255 Reli ya SGR ya Muungano wa Jamhuri ya Tanzania imeanza kazi?

[SIZE=7]Tashbihi[/SIZE]
Hii ni mbinu ya lugha inayolinganisha vitu au hali mbili tofauti kwa kutumia maneno ya kulinganisha; ‘kama’, ‘mithili ya’, ‘sawa na’, ‘ja’. Pia huitwa tashibiha, tashbiha . Similes
[ul]
[li]mweusi kama makaa[/li][li]mweupe kama theluji[/li][li]mrembo mithili ya malaika[/li][li]baridi kama barafu[/li][li]pumbafu kama kondoo[/li][li]mwembamba kama sindano[/li][li]maridadi kama kipepeo[/li][li]mtundu kama tumbili[/li][li]pendana kama chanda na pete[/li][li]adimika mithili ya maziwa ya kuku[/li][/ul]

Inaanza kufanya kazi mwaka kesho mwezi wa saba.

[SIZE=7]Tanakali za Sauti[/SIZE]

Tanakali ni mbinu ya kutumia maneno yanayoiga sauti au hali fulani au namna kitendo kilivyofanyika. Pia huitwa milio.
[ul]
[li]anguka pa[/li][li]anguka mchangani tifu[/li][li]tumbukia majini chubwi[/li][li]lia kwi kwi kwi[/li][li]tiririkwa na machozi tiriri tiriri[/li][li]tulia tuli[/li][li]bingiria bingiribingiri[/li][li]nyooka twaa[/li][li]kuwa mweupe pe[/li][li]mweusi tititi[/li][/ul]

[SIZE=7]Istiara[/SIZE]
Ni mbinu ya kulinganisha vitu viwili moja kwa moja kwa kutumia kiungo ‘ni’ ama ‘kuwa’. Pia huitwa sitiari, stiari

[ul]
[li]Mwalimu wetu ni simba, usifanye kosa lolote.[/li][li]Bwana ni jabali langu.[/li][li]Mama wa kambo amekuwa mamba, nyumbani hamkaliki[/li][li]Anita ndiye nuru katika familia yao.[/li][li]Masomo nayo yamekuwa mawe.[/li][/ul]

[SIZE=7]Taashira[/SIZE]
Ni matumizi ya lugha ya ishara kuwakilisha ujumbe fulani. Jina au kitu fulani kinatumika hali fulani yenye uhusiano na kile kilichotumiwa. Vitu vinayotumika katika taashira ni vitu vinavyofahamika na watu wengi kwa ujumla kuwa na uhusiano na hali inayowakilishwa.

Ifuataya ni mifano ya baadhi ya vitu ambavyo hutumiwa kuwakilisha dhana / hali nyingine.
[ul]
[li]Maji - kuwakilisha uhai[/li][li]Wekundu - kuwakilisha hatari, damu, mapenzi[/li][li]Nuru - tumaini, hekima, wazi[/li][li]Giza - ukosefu wa hekima, ukosefu wa tumaini, dhambi, siri[/li][/ul]
[SIZE=6]Mifano ya Taashira[/SIZE]
[ul]
[li]Mama Tumaini alipouawa, giza lilitanda. Watoto wake hawakujua la kufanya.[/li][li]Mwanamke Msamaria alipewa maji ya kunywa na Bwana Yesu[/li][li]Mganga Kuzimu huvalia nguo nyeusi nyeusi[/li][/ul]

Kiswahili sanifu ni ngumu uku tumezoea poko njoti kuma na kathalika

[SIZE=7]Taswira[/SIZE]
Ni matumizi ya lugha/maneno kujenga picha ya hali au tukio fulani kwenye akili ya hadhira.
[ul]
[li]Chumba kilikuwa kimepambwa kikapambika. Macho yangu yalitua kwenye pazia iliyoning’inia karibu na kitanda.[/li][li]Mkabala wa kitanda palikuwa na meza iliyowekelewa redio iliyocheza kwa sauti ya juu. Saa kubwa ya ukutani ilining’inia juu ya meza…[/li][/ul]