TUNDU LISSU na ZITTO KABWE ndio Muda wao sasa huu kwenda kuganda Angani kwenye Mawingu kama Popo Kuzuia Safari ya Chombo wasichopenda kuona wala kusikia…
“Nyumbulism is an Art for the Puppets”
TUNDU LISSU na ZITTO KABWE ndio Muda wao sasa huu kwenda kuganda Angani kwenye Mawingu kama Popo Kuzuia Safari ya Chombo wasichopenda kuona wala kusikia…
“Nyumbulism is an Art for the Puppets”
Kitu kinakuja
Mungu ampe maisha marefu Rais wetu
sidhani kama itafika
Asylum seekers wa technology wakiugulia maumivu ya Jiwe ugenini.
wee kweli mpuuzi unapata wapi ujasiri wa kumsifia huyo dikteta wakati na wewe upo huku ukimbizini au bado mnalipwa buku saba na huku
Braza sijamsifiamtu hapa! Au unataka nianze kukusifia wewe!
Huo ni mzigo mwingine kwa walipa kodi wadanganyika
sikio la kufa halisikii dawa…what goes around comes around
Sanaa!
Wewe mbwa
Wakimbizi wenzangu hamjambo.magu anatutesa balaa.nashukuru kwa alienitonya kuna kambi ya wakimbizi huku kenyatalk
Mbwa mamako
Magu anawatesa kiaje
usitake watu waugue vichaa upya sababu walivyonavyo vinawatosha
Sasa mnataka kugombana na huku ugenini. Subirini turudi nyumbani.
Karibu ndugu
Hahaha Dah Asante comrade, sijui ni balaa gani bwana limetokea mle ila no sweetie yote maisha na kambi popote
Hahaha sasa mkuu tufanyaje tukilete kile kitengo chetu huku tuanze kuwakimbiza hawa mbwiga home kwao hahahaha where’s ichoboy01
Hapa tumefikaje?
Heri hata ilipuke njiani, tena ndani ya ndege apande yeye na wanachama wenzie ikifka tanzania, na muda huohuo ilipuke.
Hivi huu UKUKU na huku upon…!!!