Hivi huyu Mr angekua bongo unadhani angepata hata ubunge kweli???
Mwandishi gani wa habari hapa TZ ana “balls” kama huyu.https://www.kenyans.co.ke/sites/all/modules/copyprevention/transparent.gifhttps://encrypted-tbn0.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcSp1RgRGUIrOjIVdhaMwAqIsUiqHwd_HDymGnIF2YwPec7SLAg2iWyor0K3
Wa wapi huyu mkuu?
mkenya huyo ni noma anaichamba serikali bila woga
Dooh! Kajitoa muhanga sio?
Shukrani mkuu…
Nasisi tunae Pascal Mayalla hahaha
Mkuu hayo sio ya kuuliza, kwa Bongo yangemkuta kama yaliyo wakuta Tundu Lisu, Ben Saanane au Mawazo. Kma sio hivyo basi mwli ungeokotwa Coco Beach au kando ya mto Ruvu. Usicheze na wasiojulikana jamaa ni noma kishenzi.
Shikamoo Tanzania nashukuru wametufikisha hapa… hatua kumi mbele hatua mia nyuma… alijisema Tundu Lissu akimalizana na upinzania ataenda kwa wengine hilo liko wazi kabisa
bunge lilimtia nyavu kakausha nimemuona huku yupo
Kazi ya mwandishi ni kuichamba serilali? Basi njoo nawewe unichambe nshakunya
Mkuu,kuna nyavu inaitwa kokolo ni nomaaa,inakumba hadi mayai ya thamaki
bongo tutamng’oa meno!
Angekua bongo huyo angeshakutana na wazee wasiojulikana
Jicho pevu ,Tanzania hatuwezi kuwa na kipindi km hicho,ingawa Jerry muro alijaribu ktk kipindi cha usiku wa habari
Alishawahi kukimbilia Sweden kipindi Fulani
Huku angeshakula pyu pyu pyuuu
Mayalla kawa mpole sasa
Unamuamini jerry muro na kuweza kumuandika adharani, siamini jerry muro kama alikuwa peke yake.