amka saa kumi na moja Alfajili, tafuta barabara moja ndefu na changamfu, nikiwa na maana muda huo inakuwa tayari iko busy watu wanaita pita, kimbia, naamini hutokosa wenzako huko mbele, kama nia ni mazoezi, kimbia kuanzia dakika 40 mpaka Saa moja, na ukishakuwa sugu hamia ktk miinuko kidogo…hii inanikumbusha wakati nipo iringa, unashuka kile kilima cha kisima cha bibi na kukipandisha mara 20 kila asubuhi
Hapana , nilijifunza kwenye ule Uzi Wa mazoezi JF sio lazima ukimbie kimbie nje hata ndani panatosha.
Ile namna ya kulala halafu miguu umeweka juu ya stuli huku ukiinua kifua nusu ni zoezi tosha lile.
Napiga kila siku asubuhi , jasho zake utadhani nimekimbia kilomita 4.