Just to let everyone know kwamba LUMUMBA (as u people call it) HAKUNA MAZUZU WOTE WAKO KWA MAJIRANI ZETU HUKO MTAA WA PILI
[ATTACH=full]178334[/ATTACH]
Huyu ndiye kielelezo cha wana lumumba aka mafisiem
Kasafishe your pussy ndo ukuje tena.
Unatia najisi KT.
Aiseeeee…!!
Namba imesomeka Lakini… wasalimie wenzako huko
yako umesafisha maana imekaa uko nayo pia…
Kama watetezi wa lumumba ndio nyie basi chakubanga amekula hasara.
Sio mbaya hata yeye naye akili zake za kuchaji.
sijajua unamanisha nini kwa kusema watetezi… lakini #hapakazitu
Shikamoo
Mkuu mbona na wewe unaranda randa mtaa wapili huku kwa majirani, halafu unajitoa ufahamu kwa kuita mazuzu watu waliojihifhadhi kwa hawa majirani. Unakuwa kama nyani anaecheka ngoko za wenzake. Usicheke kiraka cha mwenzako wakati we unatembea matako wazi. Yamkini kama nawewe ni wa Lumumba umetuonyesha uzuzu wako.
haha ingawa umenichekesha, lakini sirandi randi Mkuu nimewafata tu kuwaambia ambayo hamtaki kuyasikia, na yamkini mimi sio zuzu mazuzu wapo mtaa wa pili
Kwa tafsiri yeyote ile unayoijua; chagua nani ni zuzu kati ya watu wawili wafuatao:
Mtu A ana sifa zifuatazo:
(i) Huyu huwa hatoi maoni hadi mtu mwingine atoe yake ndipo nae arudie hayo hayo kama kasuku
(ii) Siku moja anaambiwa nchi ni tajiri sana na hatuhitaji mkopo (anashangilia), siku mbili baadae anaambiwa tunakopa ili tufanye maendeleo (anashangilia pia)
(iii) anaambiwa vichwa vya treni vimeokotwa bandarini maana waliovileta hawajulikani (anashangilia), baadae anaambiwa vile vichwa vya treni serikali imevinunua anashangilia pia.
Mtu B ana sifa zifuatazo:
Anahoji yote hayo (i) - (iii).
HAYA, TUAMBIE NANI NI ZUZU KATI YA HAO WAWILI??
Mkuu Asante kwa kumpa huyu poyoyo za uso.
Marahaba kijana, habari ya huko utokapo…???
Karibu huku Diaporani…tehteehhh
Asante sana Mkuu…
Hiki ndio kielelezo halisi cha mi CCM
Na bakayoko akiambiwa asiyotaka kuyasikia anapiga watu risasi.
Uzao huu wote ni mazuzu[ATTACH=full]178352[/ATTACH]
Hilo ni nyang’au halisi la mtaa wa Lumumba kule nyumbani au macho yangu?
inawezekana lumumba sio mazuzu ila ukweli usio pingika wengi wenu ni ma opportunists, mko lumumba kwasababu ya ulaji na mko tayari kukubaliana na chochote ilimradi msipoteze ulaji wenu. wala siwalaumu kwani ndio chama chenu kilivyoundwa tangia mwanzo. wote mnadumisha “fikra za mwenyekiti”, hivyo mwisho wa siku mmekubali kuishi kizuzu hata kama sio mazuzu
Naona kum
kuma ina nyege sio. Bahati yako. Ningekutomba kisawa sawa. Nyau mkubwa wewe.