Kwa nini wanaume wa Dar wanaongoza kwa ugonjwa wa akili?

Wakati Fulani nlisoma habari katika page ya clouds juu ya utafiti uliofanywa DSM na kugundua kwamba wanaume wa Dar wanaongoza kwa ugonjwa wa akili

je chanzo ni nini jamani,halafu akili ikiwa ovyo hata nguvu za kiume zinaisha na hili tatizo ni sugu kwa wanaume wa Dar,nini hasa chanzo cha ukichaa wao!??

Aisee hii ndio naisikia hapa mkuu

Sigara Kali naona umekuja kuwachokoza wanaume wa daslam.

Mwanaume akikula CHIPSI, MIGUU YA KUKU, SHINGO YA KUKU… Basi ujue huyo no mwanaume wa Daslam

Taarifa imefika

Kama ndo hivyo basi Dar yote ingekuwa na vichaa tu

hii ligi hii mhh…

cc @Smart911

haitakaa iishe hii!

Ni kweli kabisa

Ukiona vichaa Dar es Salaam hujui wametokea mikoani hao…

Cc: @Mahondaw

Mtu yeyote akitoka mkoani akija Dar …atakuwa anashangaa shangaa spidi ya maisha hapa jijini mpaka anadata anakuwa chizi

Hamchoki Kutuandama Jaman

Hao clouds media group ndio machizi sababu ya kuwa na watu machizi wengi mule

Hivi hata JPM si mwanamme wa Dar!!!

Sigara kali zinachangia @Sigara Kalii :D:D

ukosefu wa bangi ya kutosha… mikoani hamlimi kwa kuangalia uhitaji…maket need…mnalima kupata pesa ya kula…mjitahidi soko lipo la kutosha daslamu…