Ushawahi kamua dame wa kukuoshea nguo?
Zangu huoshwa na mmama 40+ so no
Pia zangu…but hakuwa leo…ametuma dame mwingine hapa…mtoto wake…anasugua hadi ukuta ya bafu:eek::eek::eek:
Piga picha kiFBI tuone bana
Unakaa kuwa na hekaya…leta hekaya boss.
mimi hujioshea nguo zangu
Pesa ni ya nini jamaa? Unapatanga mtu analewa 5k na anajioshea nguo…which costs 500 bob max na ni once a week…never makes sense.
ah acha tu, but si wote huwa wamama kuna twingine JO!
Na sisi wa washing machine? Tunafaa kudinya nani?
[ATTACH=full]94121[/ATTACH]
Arimis…na ukikosa tumia engine oil ile ya black:D:D:D
i only wash Tshirts and socks, mbona nilipe mtu aoshe hizo?
[ATTACH=full]94124[/ATTACH]
dem atakuja si wa picha. probably hii wametoa kwa mneti
Naosheangwa everything except boxers na handkerchief…those are too personal to delegate. For 500 I get a clean house, clean clothes, which she irons zikikauka, a meal cooked and clean shoes. What else could a man want? I dont mind sacrificing two beers for that.
Make blunder ya kucall that number uone jimama litatoklezea ukidhani shuma inalala ndani…hiyo ni marketing tu
Pucci and beer
from Class 2 nimekuwa nikijioshea nguo, slashing our compound, clean keja yetu ya home. used to doing such kind that sioni need ya kulipa mtu afanye, si kwa ubaya.
No