Kwa kinachoendelea nchini Urusi namlaumu sana Mwenyezi Mungu ' Kuniumba ' Mwafrika hivi..

[FONT=courier new]Acheni tu tuitwe…

  1. Nyani
  2. Sokwe
  3. Wapumbavu
  4. Wendawazimu
  5. Tuliolaaniwa
  6. Vichwa Maji
  7. Mijitu ya ’ hovyo hovyo ’

Waafrika tunachoweza ni…

  1. Kupiga ’ Chabo ’ Watu wakifanya Ngono
  2. Kurogana
  3. Kufitiniana
  4. Kuzima Mitandao hovyo
  5. Kuzaana kama Kenge na Fisi
  6. Kungonoka
  7. Unafiki na Kuombeana mabaya[/FONT]

[FONT=courier new]Nawaomba tu FIFA mashindano yajayo yasisumbuke kuziweka / kuzijumuisha Timu za Afrika.[/FONT]

[FONT=courier new]Nawasilisha.[/FONT]

Afrika tuna shida kwakweli.

[FONT=courier new]Egypt, Morocco na Nigeria ’ wamenikera ’ na ’ wamenitibua ’ mno Mwanakijiji / Mkuu.[/FONT]

Igikombe cy’isi 2018

swala la kufungwa ni sehemu ya mchezo, shida ni hali ya mchezo ni ovyoo kabisa.

Hivi kikwete si alisema mwaka huu timu yetu itashiriki Kombe la Dunia. Au alikuwa anatania?

Nigeria imenisikitisha sana…

Cc: @Mahondaw

Bora mimi nipo Brazil tu

African countries are shitholes by Trump

Nigeria ndo wamezingua mbaya… Walinichefua mno

Halafu nasikia tunaomba waongeze idadi ya timu toka Afrika… yaani tuzidi kuongeza ujinga juu ya ujinga

tatizo kule hakuna kamati za ufundi mkuu

Hivi na nyie wajinga wakubwa mlikuwa na mategemeo na nchi yoyote ya Afrika? Muongozwe na marais mataahira kama haya tunayoyaona leo ndio mje mchukue kombe la dunia? Nyoko sana nyie!!

Hebu nikucheke mimi, yaani unategemea Nigeria imfunge nani sasa kati ya zile mechi mbili zilizobaki? Hivi Morocco kama alishindwa kumfunga Iran atamfunga nani pale ili asonge mbele? Labda wekeni matumaini kwa Egypt kama vi Saudia havitabadilika!!

Teh!

Usirudie tena kumkufuru Mungu. Rekebisha title yako kwenye uzi huu.

Kweli mlaumu Mungu kwa kuumba kutokuwa na akili, maana ungekuwa na akili usingemshabikia Magufool.

Africa sijui lini tutafanikiwa!!

sijutii kuzaliwa Mtanzania, japo yapo mabaya lakini nahisi mimi nitafanya mabadiliko

Aliwahi kuwa serious!?