Kwa Kauli hii ' tata ' ya Mwanasiasa ' machachari ' Julius Malema unadhani Bangi yake inatoka wapi?

[FONT=courier new]Nainukuu bila hiyana hapa ambapo amesema " [COLOR=rgb(184, 49, 47)]Tangia niwe Mtoto hadi nimekuwa hivi na sasa naanza Kuzeeka sijawahi kuona Mke wa Rais yoyote Duniani akiwa amebeba Mimba ila wengi wao tumekuwa tukiwaona wakiwa na Watoto ".

Kwa kauli hii ya Mwanasiasa ’ machachari ’ wa Afrika ya Kusini Julius Malema unadhani kama ni Bange / Bangi anayoivuta itakuwa inatokea katika nchi gani hapa Afrika?

Nawasilisha.[/FONT]

huyo sio kuvuta ila itakua kuna miche kbsa imeoteshwa kwenye obulangata yake imeshaanza kuchanua

hahahaha sidhani kama ni bange ni ukweli huyu jamaa ni mkweli unakumbuka msiba wa Winnie

hila katika kumbukumbu zangu kuna waziri mkuu mmoja wa uingereza alipata mtoto downing street number 10 ni Tony blair lakini issue hapa ni Rais sio waziri mkuu

Aisee, ila kasema ukweli kabisa.

Wengi wa Marais wanazipata hizo nyadhifa wakiwa na umri mkubwa ambao wake zao wameshaacha kuzaa.

Labda tumfikirie bwana Kiduku maana bado ana umri wa kawaida huenda mke wake bado anaendelea kuzaa.

Ila Anaweza kupata huo ujauzito na asitoke public Nani atafuatilia

Huenda kukawa na lakufikirisha kidogo katika kauli yake, hebu fikiri kidogo, ni mke wa raisi yupi aliwahi kujitokeza public akiwa na tumbo kama wafanyavyo wake za watu wengine maarufu.

Kuna ka ukweli kidogo, au wewe mleta mada tukumbushe ni mke wa raisi gani uliwahi kumuona mjamzito?

Hiyo tarime

Angela Kariuki

Hiyo ya Chato kabisa

Hata mimi sijawahi kusikia hii kitu,ingawa sijawahi kuvuta bangi hata siku moja…

Kwani ni mke wa raisi??

Darmian acha utani basi

hahahahaha

kwamba maraisi wako busy mpaka hawapati muda wa sex?

Atoke hadharani ili mjue kwamba katiwa bila kondomu?:D:D:D:D

Ha ha ha ha ha yaani umenichekesha haswa maana na mimi ndio wa kwanza kumfikiria Bi Angela Kairuki