Kwa heri KENYATALK, JF IMEEUDI RASMI

Ahsante kwa kenyatalk kutusitiri sasa JF imerudi kama zamani.

We nenda tu mkuu, wengine utatuacha.

Nimeona Melo amepos.

Hapa wengi tunaona ni salama zaidi.

Kweli imerejea kwa hewa

Nendeni, mie nabaki huku huku

Twenzetu home ndugu
mie Na log off Mazima

Mwenye kwenu kwaheri,tunakutakia safari njema

Hatoki mtu hapa KT.

Kwaherini KT asante kwa kutuhifadhi

Huo wimbo umenikumbusha mbali sana!!amina chifupa na waziri sonyo!!daaa asante sana

Amina Chifupa ameingiaje kwenye huo wimbo? Au nae alikuwa mwanamuziki?

Watu uuuuuuuuuu…

Wasalimie, waambie sie bado tupo tupo huku

Kweli

wengine tutabaki huku huku…wao waende tu kwa kweli

Karibu tena

Wewe unaenda pia??

Siendi sehemu mimi bado nipo humu humu

Poa

Tupo pamoja