Hizi
majina watu hutoa wapi…jina kama bingwa scrotum, kadinyi, thirdman. Nataka kujulishwa.Na mtu asijaribu kuleta mafeelings hapa:D
.
Wanaitwa mavajo brathe… bingwa scrotum labda ni mtu ana gwadi moja:D
1 Like
hapa mtatuonyesha maneno.
Majina Kama @Paul kabugi straight outa National Identification achia twitter.
6 Likes
unanifikiria saa saba usiku swali nalokuuliza ni;
[INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][INDENT][SIZE=6]Je nitakupatako aje???[/SIZE][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT][/INDENT]
tuanze na kutwambia @ebbie ulitoa wapi…ama ni short ya ebbenezer?
2 Likes
Upuss
Pamba,safi kama BABA.
Lol,hizi za outa I.D get me shaking my head,hadi passport photo Kaa profile pic