kusota na mambo ya fare

pale ocha some years back niko long holidays, halafu kuna vile msoto ilikuwa imeniandama ile mbaya. sasa form ilikuwa kujikaza tuvibarua kiasi halafu the few coins one gets zinakuwa zakuingia tao weekendi kushika ma jug daniels na kuchana kiasi. one such weekend, napiga raundi zangu tao then i meet this ka slim fine girl nakaamua hapa nayo lugha lazima itembee. kuongelesha dame nikapata si mjanja sana, so nikaona nimejitoa noma ya an expensive date na nikasuggest tufike base fulani inaitwa marikiti kulikuwa kunauzwa samosa zingine tamu sana. Nimebuy dame sahani kadhaa za samosa (she was one hungry bish), niko sure akaamua hapa amekwachu jackpot, naameteka the village tycoon. after hapo tumetake some romantic walk, na huko kwa vichochoro nikashikashika matiti na kukula mtu midomo. niko horny ile mbaya, but i decide my ancestors did not evolve and leave the forest for nothing, so siwezi waeka chini nistoop to the level ya kuchukua slices kwa kichakaa kama mnyama. i tell the girl kama atamake afike kwetu kesho, nipepete kitu hadi iwake moto. we exchange numbers and the girl assures me lazima angekam tumalize kitu tumeanza. nikapeleka dame stage na kulipa fare ya 50 bob afikishwe place inaitwa karurina (watu wa embu oyeeh).

fast forward, kitu weno niko home halafu pale niko cold war na mathe juu nimekataa kuingia kazi kwa shamba, na nimeambiwa story ya chakula nisahau pale home. personally napenda kukula so kunyimwa chakula ilikuwa imenipea stress hadi nimekuwa Tupac najiuliza, “is life worth living, should i blast myself”. nikiwa kwa ile groomy mood ka call kakaingia, na ni yule dame ananiuliza kama niko free akuje mechi. i quickly answer yes, and i can feel happiness and joy flowing back into my empty hungry life. dame akanishow anachukua mat, but she only has one way fare no so ningempa fare ya kurudi. nikamwambia, baby dont worry about a thing, you are dealing with a tycoon. after kukata simu stress zikarudi juu sikuwa na pesa, sina condoms, na pia playing ground ya hii mechi ni kama ni shida juu mathe ako home. plus niko na njaa ata naeza faint juu ya mtu nikajaribu kufika threshold.

nikaingia evil genious mode, na nikaamua hapa i will kill two birds with one stone. i planned nitaingia uko main house and i would steal 200 from my mum, hii ingenisaidia kufikisha threshold na pia ningepunish mathe juu ya kuninyima lunch. nimeingia kwa nyumba ki sniper, lakini satan had other plans juu pale kwa kibeti kitu nilipata ni 50 bob. nikatoka crime scene with my stolen loot halafu i called a friend anishow kama atanisaidia na mancave yake niitumie kama slaughter house. the guy accepts and tells me ako mbali but nipick key some place and let myself in. nikaulizia kama ana chakula kwa nyumba, but the answer was in negative. nikakimbia stage kungoja dame now that i was sure kuna place ya game kuhappen. 50 bob yangu nikaamua ningebuy condom 30 bob, halafu the remaining 20 bob ningekula kangumu tatu na juice cola ya 5 bob, for the sugar rush na instant energy :D:D. kufika kwa duka kumbe ilikuwa a long time since i last bought condoms, na inflation ilikuwa imefikisha price ya trust hadi 50 bob na price ya salama hadi 40 bob. wacha nianze kubargain but nikama lugha ya biashara sina juu si ku succeed. ni ka swallow my ego nakwambia msee wa shop anipee hyo trust halafu pia hyo meal yangu, ningeleta 20 bob baadaye. jamaa akanitusi akaniambia niamue either kukula puthy ama kukula chakula. took my packet of salama na change yangu ya ten bob nikaweka kwa mfuko after kutukana shopkeeper nakumwambia atakufa juu ya dry spell.

my lady akafika na tukapiga mguu chapchap hadi kwa nyumba. vitu napangia huyu dame angejua ata hangerudi kwao. nilikuwa nasema ata kama sijapata chakula, itabidi nikule hii kuma hadi nishibe:D:D. dame alikuwa anadhani tunaenda playing ground, lakini unganisha stress, umaskini, na vile msee wa duka alideflate ego yangu, ikabaki ile room imekuwa battleground. nilitetemesha dame raundi kadhaa nyumba ikanuka nyama choma na jasho. dame akisema nimechoka, namwambia mimi bado sijashiba tunaenda round ingine. by the time game iliisha yule dame akaingia deep slumber ata hakukumbuka time ya kuniambia tucuddle, ama kuniuliza, what are we?. dame akalala some hours na mimi pale kando na contemplate life yangu, na kujiambia atleast am not useless and poor in everything:cool::cool:. dame kuamka tukatulia kidogo halafu akanishow its getting late and she has to go home. bana stress zikarudi tena when i remembered i had promised to pay the girls fare. nikaamua acha nikamue raundi ingine mmoja labda dame atalala tena by the time anaamka ni kesho. dame akakataa hiyo form, akasema her puthy has been destroyed ishatap out, nimpeleke stage angekam rematch some time later. nikabreak the bad news kwa yeng, nikamshow niko na ten bob sijui kama anaeza ongezea 90 bob fare yake itoshe. dame ata hakuteta alianza kunishow tu namfanyia mbaya juu hana dooh ingine mbele nyuma (nadhani kuchoka ndio ilifanya asipige kelele). wacha nianze kutuma ma SOS na ma please call me nione nani angekam through for the boychild anikopeshe 100 nilirelease girlchild aende home. anyway, after a long struggle msee alikuwa amenipea nyumba, pia alinishow place ningepata 500 kwa hiyo nyumba, and i managed to pay the fare, and even buy late lunch for me and my girl. vile aliishia nilidhani the girl would never come back, lakini lets say she came back a few more times, and she always carried her own fare.

kwa hivyo haukupewa slices

Story of our life. I like the hekaya.

Nice hekaya ya usufferer, kwenya tumetoka! Buda na iyo njaa yote si ulijaribu sana!?

Sliced bread haikuwa imefika kwa kijiji chao…

Men and pussy

Nice Hekaya… Unakula Puthy mpaka unashiba tumbo.

threshhold ilikuwa ngapi

:D:D:D:Dkarurina ina magels fine sana.
I can relate though fucking when hungry… sad thing is nilishindwa kutembea after few rounds. Hadn’t eaten for 2 days. Ilibidi niambie dame sijakula…sweet Early 20s.

Kumanga dame ukiwa njaa ni tamu sana, unamwaga kila kitu kwa internal organs mpaka kamachozi kashakauka pia, uni pale hio ndio ilikua form matime

:D:Dfirst time hauwezi jiweka chini

nina hekaya mbili tatu za karurina, nitaleta polepole

roundi kadhaa na CD packet moja

Kali bro:D:D:D:D:D:D:D

uko na kasolo, kawaida mjulo hasimami mtu akiwa njaa.

Njaa gani???

tumbon

tumboni

Story

familiar karoz ndo home

Oi

Pia inakaa Kama Crazy Nairobian chronicles on twitter