Mambo gani haya ?
wacha kumulika mjamaa wetu hivyo…ni therapy ya kuweka mikono occupied isi stray kwa nduthi…:D:D:D:D:D:D
Hehe … hata sijui nacheka nini. Si hio train imechakaa
BOY ANACHEZA PS POLEPOLE
:D:D:D:D:D
Kama mujamaa wa shepart
:D:D:D
hahahahahahahahaha
Am I the only one who isn’t seeing anything funny?
kakufe mbali basi
Wazimu zako zimekutuma kwangu… eeh? [ATTACH=full]55896[/ATTACH]
:D:D:D:Dnshapona bana