Haina shida, bora nisibebwe hekaya ati love, hiyo inakuwa union kama Ile ya Arabs..
1 Like
Hata mimi niliacha pombe elders
1 Like
Pia wewe unataka kuolewa?

2 Likes
Hakuna any healthy man anaweza wacha pombe. Sema tuu uliambiwa Na USAID eti pombe na ARVs haziendani. Na by the way, since msito Trump afanye Ile kitu mnatoanga wapi madawa?
3 Likes
Just look at her. Physically very beautiful, decent dressing and shouting Ebenezer. Nini ingine unataka?
1 Like
Let the girls have fun. Kwani mnataka mabibi boring aje na ni nyinyi wenyewe 2 days later mtaanza kulia vile your wives are dull characters?
1 Like
Sweeps ni hatari ![]()
![]()
2 Likes
Heri mlevi na mvutaji bangi than these types.
2 Likes
Waliona ni wao pekeao wako club,wanaume waliwaachia kitambo ![]()
1 Like
Uliwacha kwa counter ama wapi?
2 Likes