Kuna siku nimekunywa hii shit. Singemaliza kikombe. How people manage to drink a whole jug baffles me

Hii ni takataka.

7 Likes

Kila mtu Ako na taste yake. Meffi wewe. Hatuwezi kua the same

3 Likes

Fukara ingia YouTube ujifunze kujipikia your own shit.

3 Likes

Heshimu keg elder… wengi wetu hapa ndio tulianzia… jug moja uko seti mbaya

8 Likes

Huwzi elewa nice things

1 Like

Mnakunywanga takataka elders…

Donald Duck Lol GIF

Hayo kando, @Sanchez11 ushaanza kuwa mlevi chakari..

1 Like

That was like 2 years ago..hii ni pombe ya EABL targeting peasants

2 Likes

Keg ni beer moja safi sana. Wenye kuikunywa to the most part ndio wanakuwanga maumbwa. Any time I feel like, huwa najibebea glass yangu. Sitaki hepatitis kutoka kwa hizo vikombe na hakuna vile naweza kunywa na straw.

13 Likes

And you are reporting live from the rubbish bin..mavi ya kuku

5 Likes

We ni ubwa sana.. Hii picha huezi fanya search image uone nimetoa wapi

Once you start drinking in such dingy joints full of low lifes, say goodbye to any dreams of success.

13 Likes

Hapo nmekataa chief , you must experience both life’s .shenzi

2 Likes

@Abba Suba tell them where the secret to wealth and health is.

2 Likes

Busaa

6 Likes

Ukweli. Same to hanging out with regulars of such joints

5 Likes

enda club inaitwa progressive kasarani uone the REAL OLD MONEY. Inaitwa ‘club ya landlords’

Ni base ya keg pia?

Elder nikimwangia libeshen ancestors na hio cargo yenu mambo inaimarika saidi?

1 Like

Pale ocha lazima nikunywe keg na herdsboy na wasee wanasaidiana job hapo home kwa nyanyangu na kwa mzae huku wakinipa updates ya rela mgani anasumbua boma. Any Friday inakupata huko, just buy a whole 5l and a little nyama kama 2kg wachome wakule kama mnakunywa kwa campfire hapo nje.

5 Likes

people ignore watu wa ushago na ndio watakam kukuzika

3 Likes