Kuna siku nilitembelea msee fulani alafu napata anadish sembe+mayai+tomato sauce

Mans kama hawa na watu uenda Sonford kukula chips kavu na maji ya mfreji hawana tofauti.
[ATTACH=full]202139[/ATTACH]
Imagine ndume mzima na mandevu zake ana boil maji anamwaga unga ndani anapika sembe. Kidogo anavunja mayai anakaranga anaweka kwa sahani.

To make matters worse anaongeza tomato sauce. Kidogo kidogo anaoga mkono anakunja shati then says a short prayer then starts eating… Anararua dish ni kama ame achieve something in life.

Wanaume kama hawa ni candidates wa kuchunishwa sukuma and I don’t take my words away… I mean it. Sio wanaume kamili. Mwanaume ni kama Panyaste… Pika maini kama bei ya nyama imekulemea… Ama pika matumbo or better pika omena ghasia. Ama kama mbaya mbaya enda kibandaski ukakope ghasia

@Panyaste naskia wewe ni mfupi alafu umenyoa kipara ukivaa pull neck unakaa Roll On

Utaoa lini Kibet? Wacha kusumbua. Na hizi nyef nyef za ndume ukome.

Ndio hawa wamefika wakubwa

Most bachelor’s survive on ugali mayai…wtf are you talking about?

Mimi huwa sipendi hii tabia ya kuchunguza eating behaviours ya watu then starting to criticise them. Inakuhusu aje? Domo yako? Tumbo yako? Kila nyani na starehe zake buana, huwezi tupimia oxygen. Am sure ata wewe hukula your own weird food combination Panya.

Panya ni panya tu inatembelea mwanaume lunch time or supper time confirmed panya wewe

Polo neck ghasia hii ya muchatha,

You guys fail to pick up on @Panyaste sense of humor!!!

lakini ikiwa na kanyanya, kitunguu na kafirifiri aisee…

lakini hiyo unga inakaa kama ya ujeru…uliunda for demonstrations purposes?

Humor requires some semblance of intelligence. Kibet has the IQ of a rock.

bora uhai

kamidget maini huku vumbistan iko na bei kuliko nyama

lakini hiyo unga inakaa kama ya ujeru…uliunda for demonstrations purposes?

Exactly, he is trying to show us a bougie way of cooking ugali mayai under the guise of calling ppl out ndio asitusiwe.

Hio mayai inakaa kienyeji very healthy meal ingawa @Panyaste hujui kupika ugali tafuta khupipi

Hapo kwa khupipi sawas. Lakini pale hatoboi. Aende kwao baringo asake kienyeji mwenye hajui slay au sponyo in mnyama gani.

Y’all missed the bus. This people is the start of a series of "Cooking With @Panyaste " posts… I am archiving this…coz the fall will surely come. It did happen with @Gio

(Where is that exposé by @Shahid on @Gio )

:D:D:D:D:D

:D:D:D…you gonna kill somebody!!
[ATTACH=full]202151[/ATTACH]

Its Pull Neck ngamia hii.