kuna mtu atavunjiwa vibuyu

[MEDIA=facebook]id=1162057774194549;type=video;user=MunyuiKevin[/MEDIA]

https://www.youtube.com/watch?v=IHv3nGAvSRk

Could we all just fucking chill please?? I mean, kuna kijana flani mushienzi aliita uhuru mtoto ya mbwa, hii drama yote haikuwa. But hapo kwa mbwa na mwenyewe, hapo ni ukweli.

bullshit huwezi ambia umbwa yako ikuje ibwekee mama yangu na u expect nichekee na wewe. wacha uhunye alewe Sudi atajipata ameingia exile Hades

Uhunye has to tread slowly ama atamwaga kitoweo ya familia. Ruto still has a chance of taking over & may decide to after uhuru vile dos santos huko angola.

Kijana wa SK Macharia alichujwa na gari yake pale bypass after such ceremony. Cholmodely Delamare pia alikufa baadaya ya Wamasai kumchinjia Kondoo pale Naivasha. Hata hawa watakiona.