… Nkiwa bado in my youth years umoja 1 nshawai patwa base ya veve around 12 za usiku ivi ka tunashikisha na kahawa tungu baze ya vaite…apparently kuna karao alikuwa amemadwa na itoke yake ikabebwa… Lakini juu ya veve kutamba na reggae kuruka tulikuwa tumetupa idhaa sana hatukuwa radaosis…
Hujaona msako na karao plain wameingia ka tumelalishwa chini and i was the most closer to the entrance ya vaite…uyo karao alinilalisha chini na kunikanyaga mgongo.the place was constructed using cottons and cement bags so wenzangu were making way where there was no way.,karao huyu amenikanyaga after kuona ivyo alianza kushoot kwa hewa but mi juu nlikuwa nmelalishwa chini na tumbo na sioni any nlidhani ni mimi ananimalizia as shells came down running beside my head…nakwambia veve nlimeza na haja ndogo pia nkaenda…i knew i was done…
24 Likes
frank, frank, frank…i thought mama warned us not to go to such places. unge-shootiwa ungesema nini sasa?
6 Likes
hizi ni gani rasta man?
2 Likes
Hehehe Franko pole
@wildfrank Mimi sio mijinga lakini. Sawa?
1 Like
Wewe ni mjinga… Utado nini?
Hizo cotton ndio shida
@ kirwa,umeskia mambo ya Kayole jana?
2 Likes
Hii hekaya umeleta Tu siku ya wajinga
1 Like
Carton …I think
washa simu…
I was on another call ,piga sahii.
Nkt kama huna hekaya ya kayole jana hapa toeni mapenzi ya kazi hapa… Texting is more easier… Chieth
Niwache boss.
1 Like
Truth hurts i guess
Leta story ya bangi, hii ya veve imekataa kushika.
1 Like
:D:D u see truth hurts…just cause i told you nmeona before mugabe… Stop being a soar looser.
:D:D
@guru=@ole_wenu i know these things
Hapa umenimalisa Rastaman