K?
Baba K? Who’s baba k? Nisamehe dada, nipo Kisarawe nakata mkaa, sina dish wala king’amuzi huku!
RC wa Dar ni Baba Keagan
Oh Joyce Wowowo! analindwa na mbwa wa madawa ya kulevya! Ndiyo maana lilugola limepoa alafu linamshupalia zito ameliambia limtafute mbwa kwanza
Bobby amepatikana alikuwa mafunzoni eti
Alikuwa analinda nyumbani kwa naibu rais