Kula vitu tasty! Zikiwa hot hot

[ATTACH=full]206215[/ATTACH]

mbona unakula samaki na patco?

Looks good but io mchele haileti shangwe.

Makosa mawili:

  1. Huyo samaki ameungua hapo juu
  2. Kupakua samaki na mchele ni kama kuua binadamu.

Let me join the bandwagon: Fish na wali boss si form hata iko hot hot aje

:D:D:D…kuna siku niliona mkamba fulani ameitisha whole fish na chapo nikashikwa na depression.

Mimi naweza faint ama nipatwe na stroke!

Mimi naweza faint ama nipatwe na stroke!

:D:D:D cc @Chloe

fom ya kula samaki ni kupika ugali kubwa na kufunga mlango

:D:D:D

Halafu unatoa shati.

halafu unapiga press-up 15

assuming ni ugali, alafu utapata mshenz ako na kakijiko complete an fork…I miss death by hanging na ni kamba imekatika.

It’s a matter of personal taste …
Dubai , Bangkok , Durban , Comoros, Mauritius , Seychelles , Cape Town nimeona Samaki akiliwa na Wali …
Tena Very Nice …
:smiley:

Sasa. …
Jaribu Hiyo…

[ATTACH=full]206225[/ATTACH]

:D:D:D:D na ugali mbili

Ndio nikule smak ama ingoho me umake sure nimetembea 200 metres ndio njaa inipige proper

what is 200 meters VE? U must be as lazy as fuck. Bolt can cover that in 20 seconds, and me in 25 seconds.

Halafu unaweka wimbo ya Brock Lesnar.