bae aliniambia anakam na akadai nimpikie
kuku. Sababu ya msoto singeafford kuku
nkakimbia kwa ule msee anauzanga pieces za
kuku (spare parts) nkabuy miguu, mabawa,
drum sticks, shingo, kichwa, yani nkishikanisha
itakua kuku full. Mimi na kiherehere yangu
nkaziweka kwa basin ati akam apike.
Nkajichocha ati venye imenisumbua nkiichinja.
Nmeskia amewika, kukimbia kitchen ananiuliza
kwani hiyo kuku ilikua na miguu tatu, ndo
nmekumbuka sababu mm ni customer
aliniongeza mguu moja!
Nmejifanya simu imelia
Bado nko nje nkifikiria ntamwambia aje![ATTACH=full]60985[/ATTACH]
Go fuck an avocado…recycled meffi wewe
hawa kuku wageni wamefunguliwa wapi?..na eti inaweka mbisha ifikishe threshold:D:D:D:D
Nikama walifukuzwa shule juu ya skool fee !
Regurgitated crap!
Kweli wewe ni mwenda
Meffi NV rudi FB na ii upussy yako.
Tulia nv[ATTACH=full]61143[/ATTACH]
Hehee