Leo sinimeskia maajabu ya maasai aki itisha sijui kama ni bibi yake ama poko coomer… ati:- alo sofa bla bla salamu alafu akasema aitishe cargo na kiswahili ndo tu tambue yeye… sasa maajabu ndo hii ati thatha nataka hiile kitu namesanga mwensake… waaaagwan ndauo joh.