kujeni kidogo

Government to Government,[ATTACH=full]459537[/ATTACH]

Government to Government,
[ATTACH=full]459538[/ATTACH]

Halafu sasa hawa waliitwa wakiwa watatu only, wakasomewa kama watoto, wakaambiwa waende home wapumzike. Waliitwa wakiwa watatu baba asiaibike,
[ATTACH=full]459539[/ATTACH]

@sani leta biz sasa hatutaki siasa haziongezi kitu Kwa account.

mpaka mkubali and wish our government well

so long as ule mama wa lands harudi hapo na hiyo “ardhi rasa” yake.

blal fakni!!!

Tulikubali kitambo sana. Sahi nikujenga taifa.

Iko wapi picha ya wakiwa watatu,ama iko kwa kichwa yako

Statement ya US embassy iko clear, Karua, Nyong nyong na Baba. Waliongelelea about “shared democratic values,” sio uchumi ama security. Shared democratic values ni mtu akishindwa akubali aende nyumbani

[MEDIA=twitter]1560222922270285824[/MEDIA]