Kuboeka na Gatheca.

Vile Gatheca ameanza kuongea imebidi tu nibadilishe channel. Especially after kuanza kutwambia achievements za chupilee. Nkt![ATTACH=full]202428[/ATTACH][ATTACH=full]202429[/ATTACH]

Wee unahabari zuku wana exit Kenyan market?

N si leo umeweka mbisha mingi za io TV yako?

Nilisikia hiyo maneno. Itabidi niuzie mtu hii decoder kabla wafunge business.

Zinaitwa attachments.

Matiang hajasema kitu kuhusu Monday ? Ni holiday ama niamke mapema nikalipe China?

This will be a perfect opportunity for Safaricon to shaft us with Home Fibre prices.

Naona mjamaa alitishia kuinjuri ki-snipper ati “mchezo umeisha”

Gathecha never fails to be funny.

Ni guteeee!

Sihami anytime from my local supplier…he buys in bulk from liquid telcom then sells to us raiya kwa 1500pm

Ukilala utafutwa kazi na mhindi

Aje sasa tell us more tuepuke shafting

lakini chief si utoe stickers kwa tv

At what speeds?

Saidia hapa na iyo info. Zuku wamenikatia huu mwezi mzima eti nikilipa nitaepuka Ushuru lakini sijatoboka bado[ATTACH=full]202433[/ATTACH]

2mbps but ako na package hata ukitaka 50mbps… although initially unanua nano station,router na cable plus installation fees

Hehehe…at that price, ako expe… But kama it’s impossible to get saf faimba or zuku in your location, ni poa tu kutumia hiyo…

Nimeona safcom wakichimba mitaro base wacha tuone …in my case it’s was only that or Mifi …in your hood kwani prices ziko aje?

sema tu umebuy tv mpya unataka the whole village ijue…just another bitter social media user,niignore tu.

A kid with a new toy? Discount that!
Just learnt how to attach?.. Maybe?