KTN na NTV zimefunguliwa after being off air for a week
ndio nimeland wadau
Uhunye walikuwa wanajifanya kwa nini…si mkia wameweka katikati ya miguu sasa
Ilikuwa warning. Zitakuwa zikizimwa zimwa kama light switch mpaka watii.
niaje mungich
Ni kama kukuita mnyore, mtiriki ama mgisu.
Hehe…and Citizen remain shut because they went to court.
Karibu sana Navy SEAL
Ni navy seal ama nappy seal LMAO