Ktalk social classes

Mabirrionaire na Machokosh wahuku wanaishingi wapi? Mimi ni ,mtu wa Isiolo.

Rudi isiolo, hapo karibu na total petrol station, kuna ka mawe ya kukalia na mabirrionare kama wewe

1 Like

Upus rudisha kilimani mums!

2 Likes

wewe ni chokosh wa wapi?

bingwa unatusi handle yako ya alshabab

Hagadera

Fala hii usinihusishe na Al Shabaab ATPU wanimulike

mimi naishi kwa Kiwanja hapo

unaona hapo frontier( bt sijui kama bado iko ama ilifungwa)

Isiolo wapi na hakuna mahali sijui huko?
Sema kwenu nianze na wewe kijana.

huwezi tambua

:D:D,Umegwaya CSI ikumulike.
nimeuliza swali mboga sana isiolo wapi?

hehe hawawezi nipata am too careful

garrbaturra

Beach house, Ranch or Nairobi?

sai niko ndani ya mathako

Penthouse Pia

1 Like

COOMER YA PANYA

1 Like

That’s a bit childish of you.

1 Like

suck deez nutz