This morning i woke up at 5 na kama kawa nikulog in nyumbani ni funge usiku sacco, lakini wapi!
I was shocked. what going on? Could this be happening again? BP ikaanza kupanda ikaenda over the roof. Have we been orphaned?
Been trying to log in and now ive succeded but i got tons of questions.
Admin i demand an explanation on what happened and please skip the technical terms.
Nihayo tu.
We need an explanation and an apology ASAP. Our IT admin amepewa two hot slaps atuelezee whats happenning.
Hiyo ni ubaya ya kulala masaa mawili halafu ujaribu kulogin kwa microwave
Kumbe sio mimi pekee? Hadi saa hii I can’t access it kwa simu. On comp, it’s only opening with the proxy turned on.
As we wait for admin, mwili wa Ahmed Darwesh umeletwa nyumbani mtopanga.
The fourth estate are here in full force to escort one of their own.
MHSRIP
[SIZE=1]it was google indexing [/SIZE]
inakaa watu wa fta wanakuwa frustrated, mi nimekuwa nikitumia simu na naona iko sawa
Umeanza kutupa mawe mapema :D:D:D
Was wondering whether I had been locked out of KTalk. @admin how are you going to compensate me for the mental anguish and the feelings of helplessness that I experienced this morning?
Nimeona wameweka unlike button pale.
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
[SIZE=1]rusha mawe polisi tuu[/SIZE]
Google indexing my foot!
:D:D:D:D
Nation Mobile, Standard Digital, Capital News, all of them were also unresponsive!
Poleni sana kwa hiyo technical fault. It was a web hosting issue which has since been resolved.
Are you sure you were able to log in?
Kama admin hajibu sisi nachukua VE wote twende retreat laikipia kwa kina @Carbon kustrategise na kupanga plan/option B.
No problem on my end since 0400hrs.
sema ukweli ni indexing anko google ana pms
Msee alidedi ya ukweli man
Tell it to the birds
Cry babies