kiuliso tu.

Is it me or the relationships?it feels kinda weird when i peep in someone phone then naona amesave binadamu" MY LOVE".
Does this things require some training or something close to that ndo uwe na mtu anaitwa “my love?”

Wacha tuchange tukulipie fees. Inaonekana umekaa nyumbani sana. Meanwhile, keti paleee ------------------> _

5 Likes

there are some who do not save the number ya the lucky/unlucky damsel since it is ingrained in our minds

1 Like

[ATTACH=full]39750[/ATTACH]

25 Likes

Mimi hushangaa kuona watu wamesaviwa ati “my love” “my lovely wife” “my dear husband”

Aya!io fee nangoja

bibi nimemsave my love

1 Like

ukiongea juu ya bibi unasahau caps omwami ni uoga ya msapere ama nini?

14 Likes

Bibi ndiyo huedit na kuandika hizo vitu.

2 Likes

does it apply to those who r dating or think they r dating?:D:D

Ukibadilisha umeanza vita :smiley:

4 Likes

hiyo ni kama vile simba hukojolea vichaka kule jangwani

2 Likes

:D:D:D. Now you can understand what married guys go through.

2 Likes

As long as you’ve shown potential, a woman will always find a way to keep you on a short leash.

mimi nimesave kama “school bus”

3 Likes

Jana amepatwa war the whole night. Tumekesha nayeye kwa gate mpaka asubuhi.

3 Likes

Sisi wajomba zako tulikukataza. Huyu mwanamke atakumaliza mtoto wetu.

4 Likes

hio ni kukaliwa chapati au kukunywishwa supu ya thong

1 Like

Guilty as charged…

1 Like

:D:D:D:D