Kiswahili ni lugha adhimu IHESHIMIWE.

Kiswahili ni lugha ya pill inayotumiwa na watu wengi zaidi Afrika baada ya Kiarabu. Kifaransa ni ya tatu ikifuatiwa na Kiingereza ambayo inashika nafasi ya nne kwa matumizi ya mawasiliano barani Afrika.

Kwa mantiki hiyo kumbe kujifunza lugha ya Kiswahili ni kupanua uwanja wa mawasiliano na Waafrika wengi na wala sio ushamba au uzamani,

Kujifunza kiswahili si ushamba kujiita Allen instead of Allan apo sasa twaweza zingatia matumizi ya ushamba ama namna gani my friend

kabla tuendelee…[COLOR=rgb(147, 101, 184)]adhimu ni nini??

Perhaps inspired by Allen Keys.

Ni kitu muhimu na kikubwa. Lakini ukubwa wake unatokana na thamani iliyonayo.

Kabla ya kumkashifu, je umehakikisha kwamba sio jina lake.? Na vilevile hilo jina la kimombo tuuuuuuu…

Kuna watu wanaitwa Allan na tupo pia tunaoitwa Allen. Allan ni uandikaji wa jina kwa kufuata lugha ya kifaransa wakati Allen ni kwa kufuata misingi ya uandishi wa Lugha ya Kiingereza.

sawasawa allaan kalewalewa