Nyie wa TZ.Naona mwajienjoy vilivyo karibuni sana lakini hiki kiswahili chafanya niumwe na kichwa buana.Mbona lazima nisome mstari mara mbili ndio nikielewe.Ahh jameni nyie nanyi
Bora sisi nyie sijui mnaongea kijaluo kiswahili gani kile jamani
Chetu ndicho kisafi…cheni hapana lakini sina ubishi
Tumekuja rasmi huku kuwafundisha kuzungumza na kuandika kiswahili sanifu.
Admin anatakiwa awe anasanifu kiswahili cha majirani zetu maana ni kiswa-jaluo hahhh aaahhh
yani nyie bora hata wa kongo wanawazidi wanaeleweka kuliko nyie
ha haaa wao watoto wa Goma wanajua kiswahili safi
ahahah hawa tatizo wanaleta uzungu…wakati tukiamua kutiririka lugha ya malkia watajificha
wataona giza mkuu
Kuandika huwezi ni shinda.Nilipata alama ya A shule ya upili,hata kukimanya na kimanya vilivyo.
Subirini tuwape shule nyie Nyang’au
Hahaha kukimanya “kukimanya” ni lugha ya kabila lako?
Aki hatuelewani?
Mleta mada wewe ni Me au Ke?
Cc: @Mahondaw
Hahahaha pole zenu, ndo mjifunze sasa