KISA CHANGU NA MANZI WA KENYA

Hello wanajamii
Bila shaka muko salama, huku tukiendelea kusubiri uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika August 9,2022
Ee bhana tuache story mingi mwaka 2016 nilipataga kademu kakenya alikuwa anishi ameneo ya Lungata Nairobi kwa wakti huo alikuwa chuo anasomea Information Tecnology,na mimi nilikuwa mtanagzaji kwenye moja ya vituo vya Radio nyumbani Tanzania

Huyu manze tulikutana Facebook kama kawaida,tukabadilisha namba sasa huyu tumpe jina la Jesca. Jesca tukaanza kuwasilaina kwa njia ya Whatsapp kutumiana mapicha n.k

Siku moja nikaona tumeshazoeana sana nikamvutia waya aje Tanzania akataka nimtumie nauli Nikaona mtego huu nataka nipigwe kipigo cha kimataifa kama akina Mwajuma wa tandale, nikamtolea nje aisee manzi alikuwa ananielewa sana akanisumbua kweli kwa kweli aje Tanzania

Nikapata wazo nikamwambia Atumie nauli yake aje Dar, Kweli Jesca akafanya process mwaka 2016 August akafika Tanzania Dar es salaam. Wakati huo stand ilikuwa Ubungo Terminal niakenda kumpokea

Aisee Jesca Alikuwa ameumbika si mchezo, Nyuma alikuwa na mzigo wa tani kadhaa, Black beuty, short hair hawa ndio nawapendaga mwembamba kama Reli
Wakati namtazama mimi mawazo yangu ilikuwa tu ni Namna ya Kumnyandua tu, nikawa nawaza tu staili gani ya kumnyandua, nikawaza hapa akienda dog style miguu akaiisambaratisha kama nyewle za mwali afu ile anairudisha hiyo K nyuma kama haitaki Mzee na kiuno akikifanyia kazi haswaaaaa ndio yalikuwa mawazo yangu
Ila tukate story naona inaweza kuwa ndefu sana na mimi sio mwandishi mzuri, Tulienda lodge maeneo ya Kinondoni tulipofika kama kawaida tukaanza kubadilishana story na kupeana pole then akaenda kuoga.

Nikaona sasa ndio muda wa kumnyandua ila demu alikomaa kweli yani hata nimnyandulie guest nimpeleke Home kwetu, nikapiga Kiswahili weee lakini wapi manzi akakomaa kabisa siwezi kumt…ea Lodge.

Namimi nikakomaa siwezi kumpeleka Home wala ghetto kwangu mtu ambaye simfahamu Fresh, nikaona isiwe kesi mimi nikasepa
Uzalendo ukanishinda nilipofika Gheto nikamvutia waya nikamuelekeza bodaboda akamfuata akamleta home maeneo ya Salasala Ndio tatizo likaanzia hapa aisee baada ya kumnyandua tukaendelea kukaa pale kama siku nne mbele nikagundua ni mjamzito kumbe Jesca alitoka kwao akiwa mjamzito aisee akaniangushia mzigo

Kijana ni nani atasoma hii kiswahili yote sanifu…can sombarry priss rewrite this into something readable… asande sana

NV>≥>>>>>>>>>>>>>
[ATTACH=full]455831[/ATTACH]

Aliona dame Facebook ameiva ajabu. Akaomba ikus. Akaitishwa fare aletewe TZ, but akasema hell naw, jilipie nitarudisha.
Peng akafika Tz, akakataa kunyanduliwa Kwa lodging, Boyz hataki kumpeleka kwake asifanyiwe character development. Baadaye small head took over na akatumana boda na akanyandua kwake. Sasa amewekelewa ball.

Pole @TOZO lakini ngojea wahenga wakuje na mawe

[ATTACH=full]455858[/ATTACH]

kwani tuko jamiiforums tena…?

NVchieth karibu Kenya. Safari ya kutoka Tz ni mrefu, kwanza kaoge

[ATTACH=full]456012[/ATTACH]

muombe mke wako a summarize

[ATTACH=full]456123[/ATTACH]

https://www.instagram.com/reel/Cg6RllflLyA/?igshid=YmMyMTA2M2Y=